Habari za humu! Kama kuna mtu anasumbuliwa na jino na kupata maumivu makali sana kuna dawa ya kienyeji ambayo utapona ndani ya dk 5 na kuisha tatizo lako. Wahi sasa 0747928158 Nipo Dar
Nilichojifunzs hizi Mahakama Kuna upungufu sana kwenye Sheria maana Mwanaume unapewa majukumu ya kusomesha watoto na bado Mali unapata mgawo mdogo. Ndoa ni kwa ajili ya kuwatajirisha wanawake na kuwarudisha nyuma kiuchumi wanaume. Sasa umejifunza naamini hutafanya Tena mistake hizo.
Yaani hata Mimi siungi mkono kwa Hilo. Wachaga sio wabahili Wao wanakula Bata vizuri sana. Mpare anaweza kumiliki nyumba 50 mjini akawa anatembelea baiskeli pia Hali chakula kizuri Wala hapigi pamba Wala halali pazuri.
Kitu ambacho Chadema wanafanyia ndiyo demokrasia ya kweli. Mtu ana uwezo wa kumpinga mwenyekiti bila kuogopa. Siamini kama nyiye man uwezo wa kushindana na mwenyekiti. Wengi wanaogopa kuliwa kichwa. CCM Ina wenyewe mkuu wengine ni wasindikizaji. Kuna mengi ya CCM tunajua tunabaki kuangalia tu.
Naomba sana Mbowe aachie nafasi ya uenyekiti ili kukikomboa chama chetu. Otherwise kama kitamfia mikononi mwake. Lissu anaweza kwa sasa kutufikisha Kanaani mpya
Mbowe katumikia nafasi ya mwenyekiti miaka mingi. Akiendelea jamii itajenga taswira ya chama chake pia chama Cha ukanda. Amuache Lissu naye aliendeleze gurudumu.. Lissu ni potential watu makini wanamuhitaji.
Ukwelli tuongee! Katika masuala ya sadaka za kusaidia wasio jiweza na wagonjwa Waislam hapa nawapongeza sana. Wakristo wengi tu wabinafsi kwenye kusaidia watu. Pale mivinjeni ya pili Kuna Mwarab anatoa msaada wa chakula kwa wasiojiweza. Tuwape maua yao kwa kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.