Kweli waTZ ndiyo maana tu maisha haya UDAKU UDAKU, kweli mtu mzima mwenye akili timamu unaleta mada ya kitoto kama hii.
Vyombo vya habari viliripoti kuwa mkewe alienda dodoma na ndege ambayo ilipaswa imchukue Lissu kumleta Muhimbili kwa matibabu zaidi hivyo mtoa mada ulitaka wasimtoe nguo hadi...
Kuanzia mpaka wa Idara ya hali ya hewa kwenda reli ya Tazara hadi Magereza hilo ni eneo la Uwanja wa ndege na nyumba zote za hayo maeneo zilipigwa X mwaka 1997 na kuna baadhi viwanja walipewa maeneo ya Pugu kinachosubiriwa ni baadhi wamaliziwe kupewa viwanja na fidia kidogo then bomobomoa ianze
Salaam wana Jamvi
Ni kweli hapo awali kulikuwa na hayo malalamiko hawa jamaa kutoa mizigo kwa bei rahisi kuliko mawakala wenzao lakini kwa sasa kinachofanya akose mizigo ya kusafirisha ni upungufu wa wa hiyo mizigo unaotokana na upungufu wa Meli kwenye bandari zetu kwa ushahidi unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.