Recent content by Magomamh'ingo

  1. M

    Zitto: IPTL Wamelipwa Bilion 8 toka Magufuli awe Rais

    Loh, umenikumbusha mbaaaali. HAWA WAKIGUSWA NCHI ITAYUMBA! Kweli nchi yetu ni ya KUSADIKIKA.
  2. M

    Lowassa na Mbowe, mtambueni Dr.Magufuli wafuasi wenu wote wameishamtambua kama rais

    Kila mwenye macho, na ufahamu analijua hilo. Bali kwa wajionao wafaa hao hawakuona yote yaliyofanywa na Kikwete, wala tume!!
  3. M

    Lema maji ya shingo Arusha

    Lema ndie mtu pekee anayyeweza kukaribia, na pengine hata kuvunja ya Mr Sugu kwa wingi wa kura! Opareshen Delete CCM ndo inamalizia kazi huko Arusha.namuonea huruma yule diwani Gamba katikati ya magwanda kibao!
  4. M

    Lowassa atinga Kahama kusalimia watu waliofukiwa kwenye machimbo

    Pombe tayari imeshafikishwa Ikulu by force! Ila BWANA "HEKIMA" (A WISE MAN) amebaki mioyoni mwa Watanzania wote, Kasoro wale tu wasiojielewa!!! Ni Mwwenye hekima tu, ( Nabii SULEIMAN ) aliyewaambia watu wake enzi hizo; "mshike sana elimu, waala usimwache aende zake". Elimu huleta ujuzi...
  5. M

    Alphonce Mawazo Kutokuzikwa Kesho

    Haswaaa, moto uliobebwa na green gurd kwenda kuchoma fikra za kiMAPINDUZI. MAKABURU waliwauwa kina Stive Bico na wanaharakati wengine wengi! Lakini mwisho wa yote harakati zilishinda, kaburu akaachia! Sembuse nyinyi CCM!
  6. M

    Alphonce Mawazo Kutokuzikwa Kesho

    Kwa sababu sio ndugu yako, ropoka tu! Lakini wenye hekima husema, "majira huongea, na nyakati hunena". Tuiteni majona yote mabaya, lakini kuna siku majira yatakuja kuongea. Hapo tutatambuana.
  7. M

    Alphonce Mawazo Kutokuzikwa Kesho

    Kwa akili yako unataka azikwe tu kirahisi kama kafa kwa MARALIA sio? Huyu mtu KAUAWA! tena sio tu kauawa, lakini wauaji wamemshambulia akiwa kazini! Kazi za CHAMA! HAWEZI KUZIKWA KITOTO TU! Anastahili heshima yake. Achha ujinga
  8. M

    Viongozi wakuu wa UKAWA, Wabunge, wawasili kumuaga Kamanda Mawazo

    Mawazo alikuwa mwenyekiti wa chama mkoa wa Geita! Pili kifo chake sio cha ugonjwa, KAUAWA KIKATILI! akiwa katika shuguli za CHAMA. Unawaachiaje ndugu katika jambo zito kama hilo?
  9. M

    Viongozi wakuu wa UKAWA, Wabunge, wawasili kumuaga Kamanda Mawazo

    Kwani polisi wa Tanzania wakoje? Au wameshapata HABARI ZA KIUCHUNGUZI A.K.A INTELGENSIA kuwa kutakuwa na fujo??? Polisi, mnatutengenezea TUWACHUKIE bila sababu.
  10. M

    Bomoa bomoa yavaa fukwe za Mbezi Beach; Kuacha kilio kwa matajiri wavunja sheria!

    Aanze na majengo ya katikati ya mji. Kuna lile jengo lipo pembeni mwa IKULU limezidishwa UREFU makusudi! Sheria inasema mwisho gorofa SITA, Wao kwa JEURI tu wakapachika saba zingine, zikawa kumi na tatu. VUNJAAAA!
  11. M

    Kwanini watu wanawachukia sana wanasiasa vijana wa CCM?

    hilo swali lako lenyewe tu ni la kizee! Mtu aliyezaliwa mwaka mmoja kabla ya UHURU, ni kijana huyo?? Nadhani tunatania!!
  12. M

    Yaliyojiri Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA - Mwanza

    waambie kumekucha waamke kama walishindwa kukesha. Au ndo wamezidiwa na bia za mkesha?
  13. M

    Yaliyojiri Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA - Mwanza

    Leo Mwanza naona makanisa yatakosa waumini, Maparoko na Maaskofu wasamehen bure watu wenu. Wapo kwenye ibada nyingine leo. Ibada isiyotaka sadaka ya pesa, bali maisha ya kujitoa MUHANGA kwa ajili ya USTAWI wa TAIFA LETU!
Back
Top Bottom