Kim YoungHoon, raia wa Korea Kusini na mbeba rekodi ya IQ (kipimo cha akili) cha juu zaidi duniani, amevunja ukimya na kugonga vichwa vya habari kwa ujumbe mzito wa kiimani. Kupitia ukurasa wake wa X, alitweet: “As the world’s highest IQ record holder, I believe that Jesus Christ is God, the way...
ZIPO HIZI MIZIGO LRBM NI HATARI PIA IRAN BADO HAJAISHIWA AMEJIUNDA KWA MUDA MREFU,
Makombora ya masafa ya kati na marefu (Long-Range Ballistic Missiles – LRBM) ya Iran ni sehemu muhimu ya mkakati wa kijeshi wa taifa hilo, hasa kutokana na vikwazo vya muda mrefu vya kimataifa na ukosefu wa nguvu...
Katika miongo ya karibuni, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejitokeza kama moja ya mataifa yanayoendeleza teknolojia ya makombora kwa kasi na kwa nguvu kubwa. Miongoni mwa silaha zake zinazozua mijadala ya kisiasa na kijeshi ulimwenguni ni kombora la Fateh-110 — silaha ya kisasa ambayo imechochea...
SUPREME LEADER KHAMENEI YUKO WAPI?
Kwa sasa, taarifa zinazoaminika zinaonyesha kuwa Ayatollah Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran, yuko katika bunker (Ni handaki kubwa lenye ulinzi mkali) chini ya ardhi eneo la Lavizan, kaskazini-mashariki mwa Tehran – pamoja na familia yake – kutokana na...
Licha ya uwezo mkubwa, mifumo hii ya Israel bado ina changamoto dhidi ya mashambulizi ya wingi, teknolojia ya kisasa ya Iran (drones na makombora yanayozunguka rada) Mfano Fatteh-110 na kheibar shaken. hizi missiles ni hatar njia pekee ya kudhibiti ni israel iende kuziharibu hukohuko iran...
Mfumo wa ulinzi wa Israel Iron dome umekuwa exposed aisee... ni dhaifu mno
makombora yakishonana inashindwa kbs kulinda anga la israel. Hata hivo anausaidizi mkubwa marekani na washirika wake Mfumo wa THAAD na ARROW 3 pmj na DAVID SLING umemsaidia Netanyahu otherwise Tel Aviv ingegeuka jangwa. 😀
Katika vita kati ya Israel na Iran, udhaifu wa mfumo wa Iron Dome unaweza kuonekana zaidi kwa sababu ya aina ya vitisho kutoka kwa Iran, ambavyo ni tofauti na vile vinavyotoka kwa vikundi vya karibu kama Hamas au Hezbollah.
UDHAIFU.
🔻 1. Uwezo Mdogo kwa Makombora ya Masafa Marefu
Iron Dome...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.