Recent content by Magodi Katuni

  1. Magodi Katuni

    Uchaguzi Mkuu 2025

  2. Magodi Katuni

    Maisha Na Imani

  3. Magodi Katuni

    Kim Younhoon ndio mtu mwenye akili kubwa kuliko wote duniani, amesema Yesu ni Mungu

    Kim YoungHoon, raia wa Korea Kusini na mbeba rekodi ya IQ (kipimo cha akili) cha juu zaidi duniani, amevunja ukimya na kugonga vichwa vya habari kwa ujumbe mzito wa kiimani. Kupitia ukurasa wake wa X, alitweet: “As the world’s highest IQ record holder, I believe that Jesus Christ is God, the way...
  4. Magodi Katuni

    Fateh-110 ni tishio? Au ni hofu ya utawala wa kizayuni

    ZIPO HIZI MIZIGO LRBM NI HATARI PIA IRAN BADO HAJAISHIWA AMEJIUNDA KWA MUDA MREFU, Makombora ya masafa ya kati na marefu (Long-Range Ballistic Missiles – LRBM) ya Iran ni sehemu muhimu ya mkakati wa kijeshi wa taifa hilo, hasa kutokana na vikwazo vya muda mrefu vya kimataifa na ukosefu wa nguvu...
  5. Magodi Katuni

    Fateh-110 ni tishio? Au ni hofu ya utawala wa kizayuni

    Katika miongo ya karibuni, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejitokeza kama moja ya mataifa yanayoendeleza teknolojia ya makombora kwa kasi na kwa nguvu kubwa. Miongoni mwa silaha zake zinazozua mijadala ya kisiasa na kijeshi ulimwenguni ni kombora la Fateh-110 — silaha ya kisasa ambayo imechochea...
  6. Magodi Katuni

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    FATEH-110 NI TISHIO? AU NI HOFU YA UTAWALA WA KIZAYUNI. ©magodi Katika miongo ya karibuni, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejitokeza kama moja ya mataifa yanayoendeleza teknolojia ya makombora kwa kasi na kwa nguvu kubwa. Miongoni mwa silaha zake zinazozua mijadala ya kisiasa na kijeshi...
  7. Magodi Katuni

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    SUPREME LEADER KHAMENEI YUKO WAPI? Kwa sasa, taarifa zinazoaminika zinaonyesha kuwa Ayatollah Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran, yuko katika bunker (Ni handaki kubwa lenye ulinzi mkali) chini ya ardhi eneo la Lavizan, kaskazini-mashariki mwa Tehran – pamoja na familia yake – kutokana na...
  8. Magodi Katuni

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Licha ya uwezo mkubwa, mifumo hii ya Israel bado ina changamoto dhidi ya mashambulizi ya wingi, teknolojia ya kisasa ya Iran (drones na makombora yanayozunguka rada) Mfano Fatteh-110 na kheibar shaken. hizi missiles ni hatar njia pekee ya kudhibiti ni israel iende kuziharibu hukohuko iran...
  9. Magodi Katuni

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Mfumo wa ulinzi wa Israel Iron dome umekuwa exposed aisee... ni dhaifu mno makombora yakishonana inashindwa kbs kulinda anga la israel. Hata hivo anausaidizi mkubwa marekani na washirika wake Mfumo wa THAAD na ARROW 3 pmj na DAVID SLING umemsaidia Netanyahu otherwise Tel Aviv ingegeuka jangwa. 😀
  10. Magodi Katuni

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Katika vita kati ya Israel na Iran, udhaifu wa mfumo wa Iron Dome unaweza kuonekana zaidi kwa sababu ya aina ya vitisho kutoka kwa Iran, ambavyo ni tofauti na vile vinavyotoka kwa vikundi vya karibu kama Hamas au Hezbollah. UDHAIFU. 🔻 1. Uwezo Mdogo kwa Makombora ya Masafa Marefu Iron Dome...
  11. Magodi Katuni

    Uchaguzi Mkuu 2025

  12. Magodi Katuni

    Uchaguzi Mkuu 2025

  13. Magodi Katuni

    DOKEZO Wahitimu wa Institute of Adult Education (IAE) 2024 tumeshindwa kuendelea na masomo kisa kutokupata AVN tangu mwaka jana

    IAE ni chuo kikongwe cha serikali kimeanza tangu mwaka 1975, ni baadhi yetu hatujapata
  14. Magodi Katuni

    Uchaguzi Mkuu 2025 #GE2025

  15. Magodi Katuni

    Picha: Uchaguzi Mkuu 2025

Back
Top Bottom