Asante ndugu kwa elimu yako nilikitamani kitabu fulani nikashindwa jinsi ya kukinunua lakini kwa muongozo huu naweza jaribu.Nikishindwa nitarudi kwako kwa muongozo zaidi.
Siri kubwa ya mafanikio ktk. engineering ni kujituma tu ktk.kile unacho kisomea.Vijana wengi vyuoni hawafanyi mazoezi kwa vitendo hubaki kuchati tu ktk.mitandao ya kijamii na hayo ni matokeo yake.Kazi hawawezi.wapo wengiwatu wa aina hiyo
Ndugu wana JAMII forum, kwa wakati tulionao kumeibuka wimbi la mafundi wakutengeneza incubator za kuangulishia vifaranga vya kuku ambao sio waaminifu ktk.kazi zao hizo muwe makini.BAADA YA KUTOA TAHADHARI HIYO NINAWAALIKA KUWEZA KUJIPATIA INCUBATOR KUTOKA KGE & MGE (KMGE) CAMPANY AMBAZO NI...
Asante kwa ushauri.Tunalifanyia KAZI
Ila kwakifupi MASHINE ya mayai 100- 450,000/=
Mayai-150 -500000/=
Mayai 200 -600,000/= bei hizo zote ni kwa mashine zile zitumiazo nishati ya mafuta ya taa.
Mashine za umeme automatic
Mayai 100- 750,000/=
Mayai 150- 950,000/=
Mayai 200-...
KGE & MGE inawakaribisha wajasiliamali wote wafugao /wanao tarajia kufuga kuku ,kuwa tuna unda na kuuza mashine za kuangulia vifaranga vya kuku kwa gharama nafuu sana.mashine zetu huweza kumfikia mteja popote pale Tanzania.kwa mahitaji yako ya incubator bora na kwa gharama nafuu waone KGE & MGE...
KGE & MGE NI kampuni inayo jishughulisha na uundaji na utengenezaji wa Power Inverter ,Back up machine, Mashine za kuangulishia vifaranga vya kuku zinazo tumia umeme na zile zitumiazo mafuta ya taa kwa gharama nafuu. Mashine zote zina uwezo tofauti kulingana na mahitaji ya mteja husika. Kampuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.