Nami nimesoma nikashangaa. Na wala hauoneshi nguvu kiivo ndo maana nahisi wala haujasambazwa katika vyombo vingi vya habari kama Ikulu inavofanya kwa habari nyingi.
Kosa la kumwacha Membe litaigharimu CCM bei kubwa mno. Walipoamua kumkata EL ilikuwa lazima Membe akatwe ili CCM iendelee kuwa moja. Wamefanya kosa, watajuta
Tatizo Nape mropokaji mno na ashaonywa sana kwenye vikao vya ccm na wajumbe wengi ila habadiliki. Huwezi jua kama haya ni ya kweli au aliwashwa tu kuropoka
Kama sio msaliti iweje baada ya kuingia act ashambulie wapinzani wenzake wasio na dola? Iweje kwa mfano aseme wabunge wote wa Kigoma (ambao wengi ni wa NCCR na Chadema) wagamie act la sivo watangoka! Huyu ni mpinzani wa namna gani? Huitaji akili nyingi kujua zitto ni kibaraka sumu. Kuliko...
Haiingii akilini vizuri kwamba mtu kutoka Zanzibar aje kuwa rais JMT ambayo kimsingi ndo Tanganyika! Hatupaswi kukubali mpaka pale Mbara atakapoweza kuwa rais Zanzibar. #Ni mtazamo tu#
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.