Napenda kupangisha nyumba hii kwa mabachelor 4 ambapo wawili watapanga vyumba kwa shillingi 180000 kila mmoja na wawili walobaki mmoja atapanga kwa shikingi 200000 ambacho ni master na mwingine atapanga kwa 160000...........
Nyumba hii ni self contained kwa hiyo watu hawa watashare jiko...
Nyumba ina vyumba 4 vya kulala iko maeneo ya mbezi beach samaki wabich na iko barabarani. Nyumba imezungukwa na huduma zote muhim kama vile hospital na nyinginezo, ina maji na umeme.
Kama utapenda kuiona ni PM ili upate maelezo zaidi na mawasiliano
KARIBUNI SANA..............
Nyumba inapangishwa iko maeneo ya mbezi beach kituo cha samaki. Nyumba iko barabarani ina maji na umeme ina vyumba 4 vya kulala na imezungukwa na huduma muhim kama vile hospital na nyinginezo inaweza kupangishwa kwa familia au kwa bachelors 3 hadi 4.
Kwa wanaopenda kuiona wanaweza kuni PM kwa...
hawaeleweki mi na rafki yangu tulipeleka pale hazkfnguliwa na tukaandika majina yule babu akatuambia twende kwny intvw tarh 20 rafk yang akamwambia tutakujaje bila kpigiwa cm yle mzee akasema ye ndo alivyoagizwa kusema hvyo . . . . . . Sa cjui mtu afate tangazo au yule mzee
Habari zenu wana JF natumai mko poa sana.....................
Ombi langu ni kwamba naombeni msaada wa kujua interview za tanroads zinakuwaje je zinakuwa za oral au written ...... Tafadhalinni naombeni msaada wenu coz nsingependa kupoteza nafasi hii............ ASANTENI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.