Hao waliorudi PCR test zimechelewa kutolewa na maabara kuu ya taifa ni wengi wamekosa kusafiri leo maana mpaka muda huu vyeti vilivyotakiwa vitoke jana mpaka sasa havi havijatoka labda wanaosafiri usiku ndiyo wataondoka
Muasisi alikuwa yuko sawa kwa wakati ule kwani Dodoma ni katikati ya nchi hivyo mawasiliano ya kiserikali yangekuwa rahisi. Lakini sasa tuko kwenye technologia ya kisasa hivo makao makuu yanaweza kuwa popote tuna email Fax na mengineyo mengi yanayofanana na hivi.
Point halafu hawa at wanajipendekeza sana kwetu, kwanza sisi ni matajiri pili tuna uwezo wa kila kitu ooh mara wachangie budget. Mimi nashauri kwa umoja wetu kwanza tujitoe kweye AU, UN, East African Community na kila umoja tubal wenyewe Tanganyika kama Tanganganyika ikibidi hata muungano...
Tunaomba Mbowe aieleze jamii kuwa hugo ugonjwa alimuweka ndani hakuchukua tahadhari yoyote pamoja na kuwa mama wa ugonjwa mi qualified medical doctor wote walimuangalia mpaka Makonda alipojua na kuutangazia ulimwengu eti ndiyo Mbowe akampeleka mtoto wake hospitali.
According to Makonda amedai...
Kwenye freedom fighting si vizuri kubadilisha kiongozi mtakwama, Chadema haijawahi kuchukua nchi na pia hata Mandela alikuwa kiongozi kwa miaka mingi lakini walipopewa Ridhaa alitawala kipindi kimoja
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwenzie ni vilaza, na mara nyingi vilaza ni rahisi kuwatambua vilaza wenzao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.