Recent content by Magenyi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Magufuli na mradi wa laptop kwa kila mwalimu,hivi tatizo ni ukosefu wa laptops?

    Hizi ni ahadi za kipuuzi sana, je hao walimu amewajengea nyumba za kutunzia laptop, na je anauhakika na umeme wa uwasha hizo laptops? Kama wameshindwa kununua madawati na kulipa mishara wataweza laptops au ndo nafasi ya rushwa anajaribu kujitengenezea? Mi na mke wangu ni walimu lakini hatuna...
  2. M

    JamiiForums Tanzania CV ya mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (Kibajaji)

    Siamini kama ni kweli, siamini uliyeweka cv hii kama hujatenda dhambi ya uchakachuaji, ila ukisikiliza kauli zake wanaendana. Mpaka unatoka duniani hutasaidia nchi hii isipokuwa matusi ambayo ni kinyume na matakwa ya Mungu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kabla hawajatuletea madaktari, je hali ya maisha Iran ikoje?

    Viongozi wa ccm wanataka waibe pesa ya wananchi waje waseme waliwalipa madaktari bingwa wakiirani
  4. M

    JamiiForums Tanzania Lema amjibu Kikwete, asema yupo tayari kwa lolote kuanzia sasa

    Hapa kiongozi bora simuoni. Ila lema umesema sasa tusubli kazi ya nature kuamua. Viongozi waafrika kumbukeni Ocampo
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ukisikia Pinda ni mnafiki ona sasa haya

    akiona comments akalia msijilaumu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Na sisi NCCR MAGEUZI tunajianda kuonana na rais Kikwete

    CUF hamhitaji au mambo shega!
Back
Top Bottom