Recent content by magembe32

  1. M

    Manji: Nchi yangu hainithamini

    Hanajipya mwizi huyo pesa yote asilimia 75ya biashara zote tanesco ni zake amelifirisi shirika. Mzee pombe uko sahihi kabisa jamaa ni mwizi alimuweka kiganjani mzee mkapa kajipatia magodauni ya modulo kwa bei poa halafu kawauzia ten kwa bei yakutisha. Hana uchungu na nchi. Hela ya import support...
  2. M

    Wasukuma waanza rasmi kufanya shopping ndani ya Rock city mall

    Kama mtu hapendi kuitwa au kujumuishwa na wakazi wa mwanza basi hama mwanza
  3. M

    Wasifu wa Dkt. Philip Isdor Mpango

    Kama sefue Huyu jamaa Nyoka kweli kila akitokea kwenye TV'S Nazima TV anajifanya kumushangaa mrisho kwa kila kitu wakati yeye ndiyo aliachiwa Ikulu wakati mzee wa msoga yuko safarini. Mhe pombe huyo jamaa ni hatari sana mpe kazi nyingine weka katibu mkuu wako McHale kazi. Huyu jamaa majungu tu...
  4. M

    Wanaccm waanza kumchukia Magufuli, wadai asijidanganye alishinda kwa nguvu zake binafsi

    Well done Pombe Tanzania ni zaidi ya CCM. Ukiweza teua hata wapinzani
  5. M

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Edward Hoseah

    Mzigo mzito mpe msukuma Pole ndugu yangu yangu
  6. M

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Edward Hoseah

    Rais wangu angalia wengine watakutumia vibaya. Tatizo nyumba yako kuu haikuwa na dhamira ya kweli kupambana na rushes. Na huyo katibu ana ajenda zake za yona na Mramba. Ushauri muondoe katibu mkuu Sema katibu mkuu mwingine ili ufanye maamuzi yako. Kwa Dr Hossea Mheshimiwa Rais wangu...
  7. M

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Edward Hoseah

    Kama ni issue ni makontena sefue vipi. Haya yote yamefanyika huyo akiwa kwenye ofisi kuu. Naye aondoke
  8. M

    TAKUKURU ina kazi gani kama Rais na Waziri Mkuu ndio wanaogundua rushwa?

    Rais Huyu sasa ndo Rais pekee anayeweza kufanya kazi na Dr hossea. Mara nyingi ameomba apewe uwezo wa kukamata na kushitaki waziri mkuu alikataa mbele ya bunge. Mara nyingi akiwafuata wakubwa Simu nyingi zinapigwa na wakubwa. Rais wangu wa sasa hataki vi memo. Ni wakati sasa takukuru itaweza...
  9. M

    Tibaigana: Nchi inahitaji Rais dikteta

    Kwa kweli nchi ilivyo sasa hivi inahitaji dictator kama magufuli
  10. M

    Hotuba ya Rais Magufuli akifungua rasmi bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Novemba 20, 2015

    Mimi nafikiri Bill 300 ni kidogo sana. Mh pombe wamekudanganya. Unda tume ziko nyingi sana sana hizo ni only 25pct. Kazakhstan buti Rais wangu wasikuyumbishe hao
  11. M

    VIDEO: Rais Magufuli akizungumza Kiingereza safi

    Nilimaanisha Paul kagame
  12. M

    VIDEO: Rais Magufuli akizungumza Kiingereza safi

    Mwacheni Rais wangu achape kazi. He umeshamusikia Javanese akizungumza kingereza ni ki Tutsi tupu. Lakini angalia Rwanda ulikoti. Mugabe Kuna Rais Africa anayejua kingereza kama Mugabe ,?Zimbabwe wako wapi mateso tupu.
  13. M

    VIDEO: Rais Magufuli akizungumza Kiingereza safi

    Hakuna PHD ya Darasani utapata bila kujua kingereza. Labda zile za kupewa
  14. M

    Kwa hili Kikwete ulikosea sana na sijui tukueleweje

    Labda ndo maana hakuweza hata kutoa Yoruba ya kuwaaga watanzania. Safari Zane za nje aliwaacha mawaziri na watendaji wengine serikalini kujipakulia kwa Madrid wavyoweza. Unashangaa kuona watumishi wengi wa serikali ya nne Wana hela kuliko hata wafanyabiashara. No TZ Tu
  15. M

    Waziri wa Fedha ndie kila kitu, Magufuli akichemsha hili, basi

    Peter Noni angefaa sana kuwa waziri wa fedha
Back
Top Bottom