Recent content by magashas

  1. M

    Kikatiba Rais Samia yuko sahihi kumteua Naibu Waziri Mkuu

    Kwa hiyo ipo Raid atakuja futa cheo cha Waziri Mkuu?
  2. M

    Nape Nnauye: Nilikatazwa Kwenda kuchunguza Uvamizi Clouds, niliambiwa nitafukuzwa kazi

    Kwanza kabisa ni kinyume cha kiapo chake cha uwaziri. Aliapa atamtii Rais na hatatoa siri ya mambo ya serkali isipokua kwa idhini ya Rais. Yeye mpaka sasa in mtumishi wa serkali hatakiwi kuyasema hayo aliyosema hats kama no kweli alikatazwa hiyo ilikua siri. Hivyo anafanya kosa la chini ya kiapo...
  3. M

    Afrika: Nchi 10 zenye barabara nzuri Tanzania haimo, Hayati Magufuli alikuwa anafanya nini?

    Let me jibu you so shortly, Wale umati mkubwa waliomzika Magu ndo wanaojua walifanyiwa nini na JPM na nakueleza haitatokea Rais wa Tz akafariki na kuzikwa kwa mguso kama kifo cha JPM kilivyowagusa watu off course in near future.
  4. M

    Awamu ya Magufuli ingeendelea, hii nchi ingetumbukia shimoni

    Nitakuamini tu kama watu waliomsindikiza kwenye safari yake ya mwisho walikua ni masanamu. Na kama walikua ni watu kweli najiuliza wewe una matatizo gani.
  5. M

    Ally Happi na Kafulila "waenda na maji", Watumbuliwa Ukuu wa Mkoa

    Kumbe hats nyonyi mliosoma mnawivu na roho mbaya. Kwani kuondolewa kwao kwako umeongezewa nini?
  6. M

    Maneno matatu ya Kinana, Tatu ina nguvu ndo maana hata Kwa dini kuna Utatu

    Kwani mkuu wa serkali ni nani ndani ya CCM?
  7. M

    Ripoti ya Upambanaji wa rushwa na Ufisadi kimataifa - Tanzania yang'ara

    Halafu wewe ni mwepesi mno kupumbazwa na hizi multinational institutions, acha tu tutaongea 2025.
  8. M

    Nashauri Jen. Venance Mabeyo asome kitabu "Army of None" cha Paul Scharre ili atuondolee aibu ya kubebesha magunia makomandoo kwenye sherehe za uhuru

    Umekosea sana kama mcheza mpira anafanya mazoezi ndo iwe jeshi naomba tu ujue mazoezi hu improve endurance.
  9. M

    KKKT yatahadharisha kuhusu COVID19

    Him barua no Kali sana, mbona Tanzania imeacha kuchukua tahadhali tangu April mwaka Jana na bado watu wa Mungu wako salama! Bado hatuonyeshi appreciation hata kama ugonjwa umerudi ilitakiwa barua iandikwe kwa upole na kwa kumshukuru Mungu kutulinda kipindi cha kwanza na sasa tungeendelea...
  10. M

    Gazeti la The Washington Post laripoti kauli ya Rais Magufuli kuhusu Corona na chanjo yake

    Unless you tell me covid _ 19 is not as contagious as it said Tanzanians have been going on with their businesses since April 20 and if it was, we would have been seeing deaths in their numbers but it is not like that, this shows Tanzania is corona free And if there a second insurgency of the...
  11. M

    Dkt. Hassan Abbas usipambane na Kikwete siyo saizi yako. Acha kupotosha umma kwa njaa zako

    If Kenya hasn't reached a USD 3000 mark, and it has been on free market economy ever since, then us Tanzanians keep on arguing amongst ourselves instead of cerebrating together this achievement. After all what essence to 4th President to say all those at a funeral! If I show critique, is right...
  12. M

    Dkt. Hassan Abbas usipambane na Kikwete siyo saizi yako. Acha kupotosha umma kwa njaa zako

    Kwa hiyo wewe, middle income is just USD 3000/= only, mind you,it not Tanzania that proclaimed itself to be on middle income, moreover the pace which was there was it enough to take Tanzania to be pronounced a middle income country today or is just you want to argue for the sake of,
Back
Top Bottom