Recent content by magana seph

  1. magana seph

    Kitendo cha Mashabiki wa Yanga kuonyesha picha ya Mwenyekiti wa CCM kwenye tamasha lao kilaaniwe na wapenda soka dunia nzima

    Picha inayoonekana imebebwa na mashabiki wa Yanga inawakilisha Rais wa Jamhuli ya Muungano wa Tanzania na sio mwenyekiti wa chama cha mapinduzi(CCM) kama unavyodai wewe. Pengine kama una hoja mbadala kuthibitisha madai yako karibu
  2. magana seph

    Kila nikirejea kuangalia Mechi za AS Vita Club dhidi ya Al Ahly kule Misri na Kwao Congo DR napatwa na uwoga kwa Mkapa Jumamosi

    Nimepoteza MB zangu kwa kuamini utakuwa umeandika vitu vya msingi ndani[emoji848][emoji848] ila sio mbaya kichwa cha habari umeandika vizuri sana
  3. magana seph

    Jicho la tatu: Michuano ya CAF itavurugika? Kaizer Chiefs nayo yapigwa stop kuingia Morroco

    Na kama CAF wataamua kuchagua Neutral Ground wanakaribishwa Benjamin Mkapa Stadium huku watapata na Neutral fans
  4. magana seph

    Simba SC vs Yanga SC, Mapinduzi Cup final leo. Simba kuondoka na kikombe

    Habari kila mmoja! Naitwa magana ni shabiki kindakindaki wa club pendwa kabisa ndani na nje ya mipaka ya nchi simba sc. Awali ya yote napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa watani wangu wa jadi young Africa kwa ushindi waliopata baada ya kuifunga club kubwa balani Africa kwa mikwaju ya...
  5. magana seph

    Third kit ya Simba miongoni mwa jezi bora Afrika

    Nasubiri kwa hamu sana hiyo photoshop yako mkuu. NB. Usisahau kuiweka club pendwa kabisa ya Yanga (utopolo fc) katika list yako.
  6. magana seph

    Ya Moto Moto: Clatous Chota Chama aongeza Mkataba na Simba SC kwa Miaka mingine Mitatu

    Yanga hawakuwa na lengo la kumsajili triple C msiwaelewe vibaya wao lengo lao ni kusajili chama cha kisiasa yaani "chama cha wananchi Tanzania" sio chama mchezaji.[emoji28]
  7. magana seph

    Simba watajinyakulia 1.2 bilioni

    Kwani sisi mashabiki kindakindaki hatuna fungu hapo[emoji39]
  8. magana seph

    Rally Bwalya Simba wamepigwa mchana kweupe!

    Bwalya ni "Unsung hero" mkuu, ungekuwa na jicho la kutizama soccer katika ualisia wake ungekubaliana na mimi. Lakini sikulaumu pengine umetoka katika ulimwengu wa waliofahamu soccer kwa njia ya kubet
Back
Top Bottom