Kitendo cha Mashabiki wa Yanga kuonyesha picha ya Mwenyekiti wa CCM kwenye tamasha lao kilaaniwe na wapenda soka dunia nzima

View attachment 1916399

Hili jambo halikubaliki na likemewe kwa nguvu zote na TFF na mamlaka zingine , michezo ndio eneo pekee linalokutanisha wananchi wote na wenye itikadi tofauti , kuingiza siasa za ccm ni kuleta mkanganyiko wa kijinga sana .

Wako wana Yanga kibao ambao si wanaccm , siku wakiamua kupeperusha hewani picha za Wenyeviti wa vyama vyao itakuwaje ?

Jifunzeni kutoingiza siasa kwenye michezo , vinginevyo na sisi tukileta picha za viongozi wetu ambazo zinapendeza kuliko hiyo yenu , msije kuturushia mabomu , kwanza ni ushamba wa kiwango cha kutisha sana !

Naomba kuwasilisha .
Ni lini labda wana Yanga SC wamewahi kuwa na Akili timamu Ndugu?
 
Kuna mchakato unafanyika wa kumfanya kila Mtanzania aunge mkono juhudi za timu ya Wananchi

Hii inatokana na kwamba sio kila Mtanzania ni mwananchi, kwahiyo serikali ipo katika mkakati huo

Stay tune
 

Hili jambo halikubaliki na likemewe kwa nguvu zote na TFF na mamlaka zingine , michezo ndio eneo pekee linalokutanisha wananchi wote na wenye itikadi tofauti , kuingiza siasa za ccm ni kuleta mkanganyiko wa kijinga sana .

Wako wana Yanga kibao ambao si wanaccm , siku wakiamua kupeperusha hewani picha za Wenyeviti wa vyama vyao itakuwaje ?

Jifunzeni kutoingiza siasa kwenye michezo , vinginevyo na sisi tukileta picha za viongozi wetu ambazo zinapendeza kuliko hiyo yenu , msije kuturushia mabomu , kwanza ni ushamba wa kiwango cha kutisha sana !

Naomba kuwasilisha .
Mbona magu alikuja Simba day na akaja siku ya Simba na kagera kawaida tu naona hata fremani ni yanga damu
 

Hili jambo halikubaliki na likemewe kwa nguvu zote na TFF na mamlaka zingine , michezo ndio eneo pekee linalokutanisha wananchi wote na wenye itikadi tofauti , kuingiza siasa za ccm ni kuleta mkanganyiko wa kijinga sana .

Wako wana Yanga kibao ambao si wanaccm , siku wakiamua kupeperusha hewani picha za Wenyeviti wa vyama vyao itakuwaje ?

Jifunzeni kutoingiza siasa kwenye michezo , vinginevyo na sisi tukileta picha za viongozi wetu ambazo zinapendeza kuliko hiyo yenu , msije kuturushia mabomu , kwanza ni ushamba wa kiwango cha kutisha sana !

Naomba kuwasilisha .
Wewe ndugu mbona unajaa sumu kwa vitu vilivyo wazi , Yanga ni timu ya wananchi na tulikubaliana wote kuwa huyo ndiye Rais wetu , sasa wewe utwambie huyo mbowe amekuwa lini rais hata wa chuo.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 

Hili jambo halikubaliki na likemewe kwa nguvu zote na TFF na mamlaka zingine , michezo ndio eneo pekee linalokutanisha wananchi wote na wenye itikadi tofauti , kuingiza siasa za ccm ni kuleta mkanganyiko wa kijinga sana .

Wako wana Yanga kibao ambao si wanaccm , siku wakiamua kupeperusha hewani picha za Wenyeviti wa vyama vyao itakuwaje ?

Jifunzeni kutoingiza siasa kwenye michezo , vinginevyo na sisi tukileta picha za viongozi wetu ambazo zinapendeza kuliko hiyo yenu , msije kuturushia mabomu , kwanza ni ushamba wa kiwango cha kutisha sana !

Naomba kuwasilisha .
Wameonyesha picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Hiyo picha waliyoionyesha utaikuta kwenye ofisi zote za serikali,Taasisi binafsi na maduka ya wafanyabiashara mbalimbali.Wewe mshamba kweli unaleta mambo ya siasa ya kijinga kabisa basi na wewe ungebeba ya mtu unayempenda wewe.Huyo ndiyo Rais wetu hakuna mwingine kama yeye.Mama Samia oyeeeeeee
 
Wameonyesha picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Hiyo picha waliyoionyesha utaikuta kwenye ofisi zote za serikali,Taasisi binafsi na maduka ya wafanyabiashara mbalimbali.Wewe mshamba kweli unaleta mambo ya siasa ya kijinga kabisa basi na wewe ungebeba ya mtu unayempenda wewe.Huyo ndiyo Rais wetu hakuna mwingine kama yeye.Mama Samia oyeeeeeee
Huyu kuonyeshwa uwanjani wakati hajawahi kupiga danadana hata mbili , huku kauli yake kuhusu wasichana wanaocheza ingali bado haijasahaulika maana yake nini ?

Halafu hapa kaonyeshwa kama Rais au Mwenyekiti wa ccm ?
 

Hili jambo halikubaliki na likemewe kwa nguvu zote na TFF na mamlaka zingine , michezo ndio eneo pekee linalokutanisha wananchi wote na wenye itikadi tofauti , kuingiza siasa za ccm ni kuleta mkanganyiko wa kijinga sana .

Wako wana Yanga kibao ambao si wanaccm , siku wakiamua kupeperusha hewani picha za Wenyeviti wa vyama vyao itakuwaje ?

Jifunzeni kutoingiza siasa kwenye michezo , vinginevyo na sisi tukileta picha za viongozi wetu ambazo zinapendeza kuliko hiyo yenu , msije kuturushia mabomu , kwanza ni ushamba wa kiwango cha kutisha sana !

Naomba kuwasilisha .
Mawazo yao..
 

Hili jambo halikubaliki na likemewe kwa nguvu zote na TFF na mamlaka zingine , michezo ndio eneo pekee linalokutanisha wananchi wote na wenye itikadi tofauti , kuingiza siasa za ccm ni kuleta mkanganyiko wa kijinga sana .

Wako wana Yanga kibao ambao si wanaccm , siku wakiamua kupeperusha hewani picha za Wenyeviti wa vyama vyao itakuwaje ?

Jifunzeni kutoingiza siasa kwenye michezo , vinginevyo na sisi tukileta picha za viongozi wetu ambazo zinapendeza kuliko hiyo yenu , msije kuturushia mabomu , kwanza ni ushamba wa kiwango cha kutisha sana !

Naomba kuwasilisha .
Kongamano la katiba Dar ni marufuku eti kuna "kina Hamza", lakini kujumuika kuinua picha ya Samia " hakuna Hamza".!!! Ama kweli weredi wa ... upo rehani.
 
Una uwezo mdogo SAna wa kufikiria!!
Unatofautishaje picha ya mwenyekiti wa chama na picha ya Rais wa nchi?? Jaribu kubadilisha maneno yako...yasomeke hivi kitendo Cha wananchi wa Tz ambao pia ni mshabiki wa Yanga kubeba picha ya raisi wao wa nchi!! Kilaaniwe.....,....... halafu rudia tena kusoma!!: Ukiwa peke ako
 

Hili jambo halikubaliki na likemewe kwa nguvu zote na TFF na mamlaka zingine , michezo ndio eneo pekee linalokutanisha wananchi wote na wenye itikadi tofauti , kuingiza siasa za ccm ni kuleta mkanganyiko wa kijinga sana .

Wako wana Yanga kibao ambao si wanaccm , siku wakiamua kupeperusha hewani picha za Wenyeviti wa vyama vyao itakuwaje ?

Jifunzeni kutoingiza siasa kwenye michezo , vinginevyo na sisi tukileta picha za viongozi wetu ambazo zinapendeza kuliko hiyo yenu , msije kuturushia mabomu , kwanza ni ushamba wa kiwango cha kutisha sana !

Naomba kuwasilisha .
Picha inayoonekana imebebwa na mashabiki wa Yanga inawakilisha Rais wa Jamhuli ya Muungano wa Tanzania na sio mwenyekiti wa chama cha mapinduzi(CCM) kama unavyodai wewe. Pengine kama una hoja mbadala kuthibitisha madai yako karibu
 
Una uwezo mdogo SAna wa kufikiria!!
Unatofautishaje picha ya mwenyekiti wa chama na picha ya Rais wa nchi?? Jaribu kubadilisha maneno yako...yasomeke hivi kitendo Cha wananchi wa Tz ambao pia ni mshabiki wa Yanga kubeba picha ya raisi wao wa nchi!! Kilaaniwe.....,....... halafu rudia tena kusoma!!: Ukiwa peke ako
😆😆😆 haya ndugu dawa ya minyoo
 
Back
Top Bottom