Recent content by magallo

  1. M

    Toyota Noah 2WD old model inahitajika

    Tafadhari upo wapi nikuone pia nione hiyo gari ikiwezekana leo
  2. M

    Toyota Noah 2WD old model inahitajika

    Wana JF kwa yeyote mwenye gari tajwa hapo juu INAHITAJIKA kununuliwa. Offer ni 7m ikiwa katika hali nzuri.
  3. M

    Nafanyaje Malipo AliExpress?

    AliExpress ni application inayo jihusisha na biashara mtandao.yaani wanauza nakusafirisha bidhaa tofauti tofauti na kusafirisha mpaka Kwa mteja pahala pengi duniani.
  4. M

    Nafanyaje Malipo AliExpress?

    Nashukuru Kwa mchango wako naona unawezekana kwani Nina account Stan Bic basi ntawaona Ili waiwezeshe account yangu kuweza kufanya malipo hayo .shukrani sana ndg yangu Kwa mchango wako
  5. M

    Nafanyaje Malipo AliExpress?

    Nashukuru sana ndg yangu Kwa ufafanuzi wako mzuri juu ya namna yakufanya malipo. Ntafuata maelekezo Yako nitengeneze Airtel visa card,nikifanya hivo tatizo litakuwa kwisha.shukrani sana .
  6. M

    Nafanyaje Malipo AliExpress?

    Ndg ZANGU kwayeyote anaetumia mtandao wa AliExpress naomba kujulishwa namna ya kufanya malipo Kwa bidhaa itayofanyiwa order wao wanaelekeza nifanye Kwa card nami sinakadi ndio maana nauliza kama nawezalipia Kwa Mpesa ama mtandao wowote maana nimejaribu kuona namna yakufanya hayo malipo kwasimu...
  7. M

    Katika miaka hii ya utawala wa awamu ya tano, kumekuwa na msisitizo sana wa kuimarisha na kudumisha amani nchini

    Raisi wa Tanzania marakadhaa amekuwa akisisitiza sana Watanzania tudumishe AMANI,wanasiasa , viongozi wa dini, wananchi wa kawaida, wote wanasisitiza AMANI.yamkini hapa kunatatizo linalopelekea watu wote hawa kuona kunakiashiria cha ukosefu wa AMANI na kuamua kuweka msisitizo juu ya kuilinda...
  8. M

    Serikali itusaidie kundoa utata wa mzani wa magari uliopo karibu na uwanja wa taifa

    Hakika kwakupeleka malalamiko yetu sie wanyonge hapajulikani labda hapo uliposhauri. Kwani nimepeleka malalamiko mpaka Tanroads Makao makuu lakini halihii bado inaendelea. Hawa Tanroads mkoa wa Dar ukipeleka malalamiko tena Pamoja navielele,, zo, Meneja mzima anakuhoji LAKINI KWA NINI WEWE TU...
  9. M

    Serikali itusaidie kundoa utata wa mzani wa magari uliopo karibu na uwanja wa taifa

    Ni kilio chetu madereva mzani huu umekuwa hauna usahihi wa vipimo vyake, na mara nyingi magari yamekuwa ya kuzuiwa pale Taifa kwa madai kuwa yamezidi uzito na kupelekea wahusika kuandika faini kubwa ilihali uhalisia wa vipimo sio sahihi, gari na uzito huo huo ikipimwa hapo Taifa huweza kuzidi...
  10. M

    Nahitaji pikipiki boxer, liyotumika iwe katika hali nzuri

    Naomba mawasiliano yako ili nije kuiona
  11. M

    Nahitaji pikipiki boxer, liyotumika iwe katika hali nzuri

    Sawa itapendeza kama utaiona ukanipa taarifa kamili, na sijui ipowapi hii?
  12. M

    Nahitaji pikipiki boxer, liyotumika iwe katika hali nzuri

    Nimekuelewa mkuu,ilasijajua gharama ya hiyo gearbox
  13. M

    Nahitaji pikipiki boxer, liyotumika iwe katika hali nzuri

    Nipe mawasiliano tuyajenge,yangu 0788452200
  14. M

    Nahitaji pikipiki boxer, liyotumika iwe katika hali nzuri

    Bora umemwambia, mana hajui asemalo
Back
Top Bottom