Heading inasema Lema apigwa ngumi but content inasema alirusha ngumi.
Nway sisi wakurya huwa tunarushiana then Mambo yanaenda sawa hatuna muda wa kuanza kusengenyana kama wadada
Heading inasema Lema apigwa ngumi but content inasema alirusha ngumi.
Nway sisi wakurya huwa tunarushiana then Mambo yanaenda sawa hatuna muda wa kuanza kusengenyana kama wadada
Nadhani hatuhitaji waandishi wenye upande fulani Bali tunahitaji waandishi wenye weredi wa kutosha kung'amua jema na baya na kulisemea panapotakiwa katika wakati muafaka.
Nakuelewa Mzee wangu Paskali na somo lako lililopita la Insanity na hili la leo yananifungua zaidi katika kukuelewa vyema...
Back to your point,Ulitaka haki ipi aipate kama aliwakimbia hao watoa haki?
Mtu alikuwa radhi kupitia mlango wa nyuma kuikimbia tume bado unasema hakupewa haki.
Uungwana ni vitendo na hivyo tumsaidie kijana mwenzetu aweze ku realize kwamba alichokifanya ni kosa na anapaswa to the least kuomba...
Katika elimu ya matibabu ya matatizo ya akili kuna kitu kinaitwa INSIGHT,kabla hujaamua kumpatia mgonjwa matibabu lazima ufanye Mental State Examination na hii ndio itakuambia kama mgonjwa ana good insight au poor insight.Good ni pale mgonjwa anapotambua kwamba ni mgonjwa kweli na anahitaji...
Kwakweli acha tu Gwajima amseme maana nayeye anapenda popularity sana,yan kweli mpaka unafanya anniversary ya uongozi na unapewa airtime kubwa hivyo na wakati kuna watu wamezaliwa ni viongozi mpaka leo hawajaadhimisha miaka 50 ya utumishi?
Dah Gwajima endelea tu kwani something is wrong,katika...
Wakati wa Kikwete alilipa wafanyakazi hewa, akalipa wanafunzi hewa,akaajiri,pesa ilipatikana mtaani na kila mtu alikula kulingana na urefu wa kamba yake,hakika kila mtu alipata fursa kulingana na nafasi yake.
Mzee kikwete kilichomsaidia ni exposure aloipata tangu zamani na Nina uhakika angekuwa...
Dini ni opioid dini ni kama fomalin,watu wanafuata dini ili wapate relief ya matatizo kadha wa kadha yanayowakumba,watu wanatafuta amani ya mioyo, watu wanatafuta kufarijiwa kusikilizwa na kutuliwa mizigo yao,
Je ni nani asiyependa kumsikiliza Mtu anayemwonyesha njia ya kutua matatizo yake?
Nani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.