Hapa bado kuna utata no vizuri kama tungeshirikishwa na kutoa maoni yetu lakini wamekurupuka tu na kuweka masharti ya kwao na si ya wanachama vyama vya wafanyakazi visaidie kwa hili.
Inaskitisha sana uchafuzi wa mazingira imekuwa sehemu ya utamaduni wetu sababu kila siku unaongeke uchafuzi has a plastiki katika miji yeti. Namkumbuka Mkuu WA Mkoa Kagera kwa jitihada zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.