Recent content by Mafutayanazi

  1. Mafutayanazi

    Wanaume wenye watoto tupeni uzoefu wenu. Mara ya kwanza unampelekea Mwanamke wako hospitali kujifungua, hiyo siku ilikuwaje?

    pole sana mkuu uliyopitia hayatofautiani na ya kwangu, leo binti yangu anatimiza miaka minne kikubwa ni kusema alhamdulillah
  2. Mafutayanazi

    Mke wangu anatazama Cartoon kuliko Watoto wetu

    pussy[emoji777] puss[emoji736]
  3. Mafutayanazi

    Mke wangu anatazama Cartoon kuliko Watoto wetu

    bila kusahau puss in boots
  4. Mafutayanazi

    Kwanini wanaume hatugombanii wanawake kama wanawake wanavyotugombania wanaume? 🤔

    Ukikuta mwanaume anapigana siyo kwa sababu ya mwanamke, tunapigania heshima wakuu
  5. Mafutayanazi

    Vibweka nyumba za kupanga, unakumbuka nini?

    Huu Uzi mbona upo kimya sana wapi Mshana Jr
  6. Mafutayanazi

    Mume/Mpenzi kumfanya mwenza wake kama punda wa ngono

    Ndio mkuu, tuwaoelekee moto tu, [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] hakuna namna.
  7. Mafutayanazi

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Niweke kiasi gani Cha manjano kwenye uji
  8. Mafutayanazi

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Hayo manjano niweke kiasi gani mkuu kwenye huo uji
  9. Mafutayanazi

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Nashukuru sana mkuu ngoja niyatafute
  10. Mafutayanazi

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Mkuu mm pia hiyo Hali inanitesa sana nikinywa maziwa,kinywaji Cha baridi Yani nateseka sana, msaada kwa anaejua dawa
  11. Mafutayanazi

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Nasumbuliwa na mafua makali chanzo nikitumia kinywaji Cha baridi,maziwa,nyama yenye mafuta mengi na pia nikikutana na mazingira yenye mavumbi pamoja na baridi kali, inanitesa sana, msaada wakuu
  12. Mafutayanazi

    Mikasa/vituko vya lodge

    Walimu na bodaboda mmekuja kutuharibia Uzi wetu
Back
Top Bottom