Ni kweli ila swala lamsingi kwa sasa ni watanzania kujua maana hata kinacho endelea kwa bmt ni kama kiini macho aliye kuwa amepewa dhana ya kukusanya maoni ya rasmuya kstiba ni jaji wsriomba siyo sita anachukua maoni ya wanaichi kwa sasa
Mpe maana makao nakuu ya mapenzi tayari yalikwisha ana zamani makao makuu ya mapenzi yalikuwa moyoni lakini kwa sasa yameamea mfukoni ni sehemu ya nadiriko tu kama sisi tanzania tulivyo amisha makao nakuu yetu toka dar kweda dom
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.