Najiuliza tu hivi ni kweli mademu wa botswana ni mazuri sana kama wanavyosifiwa humu kwenye hii thread bt kiuhalisia ni kwamba wabotswana ni wa kawaida sana hawawezi wakawazidi mademu wakali toka Angola balaa na majirani zetu watoto wa kinyarwanda. Ila cha kusikitisha ngoma imeitafuna sana...
Hizi gym sometyms ni showoff tu siku hizi nahisi zimevamiwa kwa maana inawezekana ni 10 percent tu ndo wanaenda kwa nia ya kujiweka fit the rest 90 percent wana nia zingine zaidi ya mazoezi take my word
Take note sometyms utakuta kila unayekutana nae mkaongea atakuambia ukoo wao wote ni maproffessor kuanzia Muganyizi, Rweyemamu, Rwezaura, Rutashobya, Rutta, utaendelea kukutajia majina mengine zaidi mpaka utamwambia kamanda inatosha tubadilishe story
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.