Neno 'wenda' linanichefua! Nini maana yake? Au ni jina la mtu? Labda mimi kiswahili changu kidogo! Nimeshindwa kumalizia mada kwa sababu ya hilo neno japo mada ni nzuri sana.
Tufanye wewe ndo ungekuwa daktari, overtime unalipwa 10000 halaf mshahara mbuzi na wakati mwingine unakata hata miezi mitatu hujaupata! Hivi ukienda hospitali kufanyiwa upasuaji halaf daktari mwenyewe ni yule mwenye stress za mshahara na mazingira duni ya kufanyia kazi, akakufanyia upasuaji...
Nimekubali mkuu! Kuna mtu aliwahi kuniambia kuwa ukiwa unapenda kusema maneno machafu wakati wa tendo la ndoa basi kuna uwezekano mkubwa kuzaa toto tukutu na jeuri linalopenda kutukana hovyo!
Acha maswali ya kitoto ww! Sh 100 ipi unayoulizia? Kama wale umewarudishia 100 kila mmoja basi wao watadhan wamekuchangia 4900kila mmoja, lakin kumbuka ile 100 ambayo umechakachua ipo ktk hizo 4900 za kila mmoja! Kwa maana hyo ukiito hiyo 100 ina maana kila mmoja atakuwa amechanga 4850! Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.