Maigizo ya kishamba sana, w
watu wanamachungu ya kupoteza wapendwa Wao nyie mnaleta makofi msibani?
Ama kweli ukistaajabu ya Mussa, ya firauni yatakushinda.
Watanzania mbadileke
Salam, narudia kukusihi tena mkutane na Lipumba myamalize kwa afya ya CUF.
Hakuna linaloshindikana chini ya jua.
Lipumba yupo tayari kuongea na wewe, cooldown
Jaribu kukutana nae, please.
Majadiliano ndo la msingi.
Vinginevyo mtagawana mbao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.