Kwanza mkoa gani ni maskini unlike mkoa wote? Acha uongo wewe! Kama humtaki Lowasa kampigie Kura Magufuli tu uko huru sio kulalamika hapa. Sawa kijana. Kwani Monduli ndio maskini peke yake? Huna hoja
kama hawanunuliki. Mbona kura za maoni ubumge mlitoa rushwa? hadi nape kule mtama alitoa rushwa mchana kweupee! hatudanganyiki sie! nyie ndio mabingwa wa kununua wanachama na kuiba kura za wananchi!
Hata awe mgonjwa we want change! marehemu sata wa zambia naye alikuwa mgonjwa but wananchi wa zambia walimchagua. Na wewe kijana ugonjwa wake Lowasa haikihusu!
Kama anazijua shida zetu. Mbona mkubwa wake alishindwa kutekeleza ahadi alizotuahidi maisha bora kwa kila mtanzania? ajira hakuna miaka yote kumi unadhani pa fupi? Mnajua kuongea sana na utamu utamu wa maneno lakini utendaji hakuna. We need change!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.