Kweli mkuu wanatakiwa kumkata maana mm jamaa zangu wawili wamempigia kura mbili sasa nawengine wakioiga itakuwaje kura hizi alitakiwa apate mtatiro sasa zinaharibika. Namawakala wetu kwani wanakazi gani wanashindwa hata kutoa maelekezo kwa wapiga kura. Mtatiro mwenyewe anatakiwa kulishugulikia...
Mm nauliza huku jimbo la segerea huyu dada wachadema yupo au walishamkata akabaki mtatiro maana wanatuchanganya kwenye karatasi yakura wapo wote watu wengine wanampigia mtatiro wengine huyu Dada tunetoka kuna watu wanasema yule Dada hayupo niwanatunganyafu sasa ukweli ni upi wanaukawa maana...
Tatizo mkuu napata wacwac kwamba yupo mtatiro pia yupo huyu Dada wachadema sasa kura zinagawanyika kama mm tumetoka kupiga kura hapa bima mm nimempa mtatiro ila kuna jamaa yangu kampa huyu Dada sasa hili ni tatizo.
Ww ndo unamahesabu yakizamani eti ukawa watagawana kura. Kwani ccm wanapanet kura zipi unazozijua mwaka huu. Ccm ndo kura zao zitagawanwa coz kuna watu wako ccm na kura watampigia lowasa lakini hakuna ukawa atakaempigia kura magufuli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.