Recent content by Madigo

  1. M

    kama Unaona inawezekana.........

    Hapana bwana nyie ndio mnaongoza kuwa na ndoto za kwenye tamthiliya aisee
  2. M

    Ndoani

    MKE KAMZIDI MSHAHARA MUME...hivi mnadeal nayo vipi hii....ile desturi ya kuwa Mwanamme ndo provider wa familia inakuwaje hapa.....!! na Je mahitaji yako yanakuwaje as Mwanamke, utahudumiwa au ndo inakuwa juu yako... La mwisho, Mnagawana vipi majukumu.....please lets discuss hasa wenye uzoefu..!!
  3. M

    kama Unaona inawezekana.........

    Wapendwa dada zangu katika mapenzi na mnaopenda kuangalia tamthilia za Kimexico na Kifilipino, Mnaona jinsi Alejandro anavyomjali Maria Clara? Mnaona jinsi anavyomuangalia machoni kwa upendo? Mnaona jinsi anayombeba kwenye farasi mweupe kwa mahaba? Mnaona jinsi anavyompigia simu akimmiss...
  4. M

    Yaani nilikupenda mpaka....................

    yaani nlikupenda mpaka leo naumwa
  5. M

    Sage pastel evolution

    Habari zenu wana JF, Jamani samahani naomba mnijuze kama kuna mtu humu ndani anaejua chuo au taasisi yoyote wanayotoa course ya SAGE PASTEL EVOLUTION kwa Dar es Salaam, hii ni ACCOUNTING PACKAGE. Tafadhari wadau anaejua anisaidie. Asanteni
  6. M

    Wanaume na wanawake wanaopenda certificate bila kwenda shule

    'MARRIAGE CERTIFICATE NDIO CHETI PEKEE AMBACHO HUTOLEWA BILA MTU KUFANYA MITIHANI' karibuni kwenye ulimwengu wa NDOA
  7. M

    Fuatilia haya mazungumzo afu niambie umegundua nini?

    MAZUNGUMZO YA WADADA mary: hello, sarah: hello kipenzi mzima wewe? mary: niko poa dia,nimekumisi. Sarah: Ata mimi mary: nimekupigia simu kukujulisha kua nitakuja kukutembelea Leo jioni. Sarah: ok my dear, itakua poa. Nakusubiria mida iyo mpenzi. *baada ya kukata simu...
  8. M

    Hivi vitoto noma kweli

    Kwa kweli hii kali dadeki
  9. M

    Hii kweli lugha gongana

    A Texas rancher was doing agricultural consulting for a farmer in Kenya. He asked the farmer about the size of his property to which the Kenyan farmer replied "About 2500 hectares. When the Kenyan asked the Texas rancher about the size of his ranch, the rancher explained that if he got in...
  10. M

    The Perfect Husband

    Several men are in the locker room of a golf club. A cell phone on a bench rings and a man engages the hands-free speaker- function and begins to talk. Everyone else in the room stops to listen. MAN: "Hello" WOMAN: "Honey, it's me. Are you at the club?" MAN: "Yes" WOMAN: "I'm at the mall...
  11. M

    Ukiwa na mke kama huyu lazima utajirike

    An old married couple is travelling by car. Being advanced in age, after almost eleven hours on the road, they were too tired to continue and decided to take a room. But, they only planned to sleep for four hours and then get back on the road. When they checked out four hours later, the...
  12. M

    Kwa wale wanaokumbuka Milinganyo (Equations)

    IKIWA JAMII FORUMS = HOME OF GREAT THINKKERS JE FACEBOOK = ????????? PIGIA MSTARI JIBU.:rockon:
  13. M

    wageni wengine! mmh

    MWENYEJI; hata soda ipo tayari kwenye friji MGENI: Nipe tu vyote maana nahisi chai ni ya moto sana ko ntapozea na soda. Asante
  14. M

    Lazima....

    Hata Gari ijae vipi LAZIMA dereva apate seat Hata jogoo asiwike LAZIMA kukuche ......................LAZIMA........................
  15. M

    How Much Can BOYS Be TRUSTED??•

    A. 0 % B. 25 % C. 50 % D. 75 % E. 100 % Comments#
Back
Top Bottom