Recent content by MADEVU MANYWELE

  1. MADEVU MANYWELE

    Kikokotoo ni janga kwa watumishi wa umma

    Kwa serikali sikivu ilitakiwa kuwa imeshatoa tamko la kufanya mabadiliko juu ya hii sheria kandamizi ya KIKOKOTOO ambayo hailengi kuwanufaisha wastaafu zaidi ya kuharakisha kifo kwao bila kujali utumishi wao uliotukuka kwa Taifa la Tanzania.
Back
Top Bottom