Recent content by Madamboss

  1. Madamboss

    SoC04 Wahitimu wa kidato cha sita wanapojiunga JKT watengewe muda wa kuishi kwenye jamii halisi za Kitanzania

    Kabisa.....stadi za maisha unazipata ukichangamana na watu tofauti.
  2. Madamboss

    SoC04 Wahitimu wa kidato cha sita wanapojiunga JKT watengewe muda wa kuishi kwenye jamii halisi za Kitanzania

    Sijajua utaratibu wao upoje ila kwa kufanya utafiti mtandaoni nimegundua wana shule nyingi za kijeshi kwa ngazi ya sekondari. Asante
  3. Madamboss

    SoC04 Wahitimu wa kidato cha sita wanapojiunga JKT watengewe muda wa kuishi kwenye jamii halisi za Kitanzania

    Jeshi la kujenga taifa (JKT) ni moja ya chombo kilichoundwa tarehe 10 Jul, 1963 baada ya nchi yetu kupata uhuru. Lengo kuu ni kuelimisha, kudumisha uzalendo, maadili na nidhamu ya vijana na kuwafanya wawe raia wanaopenda kutumikia na kuiilinda nchi yao. Mara baada ya kumaliza kidato cha sita...
  4. Madamboss

    SoC01 Kama jukumu la kuitunza ndoa sio la mke peke yake, kwanini wanaume hawafanyiwi “kitchen party”?

    Habari zenu wanajamii forum? Leo nataka nigusie swala la ndoa hususani matayarisho yanayofanywa kabla ya kuingia huko. Ndoa ni muungano wa mume na mke katika mwili na roho. Wawili hawa wanapokaa pamoja huunda familia. Lengo kuu kwenye ndoa huwa ni kuunda familia iliyo bora lakini changamoto...
Back
Top Bottom