Wakati tunafunga Mwaka 2015, Unahisi ni Mwanasiasa gani aliyetia fora Zaidi kati ya Lowasa, Magufuli, Slaa na Lipumba?
Makala ya Gazeti la Mwananchi hapo chini inaweza Kukupa Mwanga Kidogo
Mwaka 2015 ulitawaliwa na matukio mengi ambayo yalitamba kwenye vyombo mbalimbali vya habari na hasa...
Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amesema chama cha ACT-Wazalendo kitashirikiana na Rais John Magufuli katika vita dhidi ya ufisadi.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, Zitto alisema nchi inanuka uvundo wa ufisadi na kwamba Taifa limepata kiongozi mwenye nia ya dhati ya kupambana nayo...
Mjadala umebase katika KUPUNGUZA GHARAMA. Kwani Magufuli amesema kuwa amefanya hivyo kupunguza gharama?
Usishangae Kusikia AMEVAMIA Ofisi ya Manispaa Morogoro au Ametembelea Mashamba ya SUMAYE MVOMERO
Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ambaye pia ni Mbunge mteule wa Kigoma Mjini ametumia msemo wa kiongozi wa zamani wa Burkina Faso Hayati Thomas Sankara kuwa huwezi kufanya mabadiliko makubwa bila kuchukua maamuzi magumu (?You cannot carry out fundamental change without a...
Miongoni mwa Mambo yaliyoipa Ushindi CCM Mwaka huu ni pamoja na Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM bwana A. Kinana ya miezi 26 iliyoishia june mwaka huu.
Katika ziara hiyo Kinana alipita almost kata zote Tanzania Bara na Visiwani.
Kwa ujumla Katibu Mkuu, pamoja na msafara wake amesafiri umbali...
We chambua tu mkuu, hili ni jukwaa Huru, Pia baadhi ya propaganda hizo unaweza usiwe umezisikia kwakuwa zinaenezwa na watu wa kawaida mitaani wengine sio wanachama wa vyama husika na Tz ni kubwa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.