Recent content by Mad Jaluo

  1. Mad Jaluo

    Jinsi biashara ya real estate, madini na kilimo kinavyozidi kunitajirisha japo mie ni darasa la saba na nipo chini ya miaka 30

    Ebana yani ilibaki kidogo tu nikamwashie bebi moto heee kumbe fix tupu🤣🤣🤣🤣
  2. Mad Jaluo

    Jinsi nilivyotapeliwa na wakushi ambao hutumia uchawi/mazingombwe ya kumtemesha mtu nywele na kucha

    Hao watu nilitoka nao Buguruni hadi Segerea.kufika pale stend akili ikazinduka.walisema eti nimelishwa uchawi nikatema makucha na nywele.eti nikachukue sim na TV niwape ili wanizindue.nilienda kwa mangi anipe hela nityarudisha maana home palikua pamefungwa.nikamsimulia akacheka sana.kugeuka...
  3. Mad Jaluo

    Masanja Mkandamizaji: Msinifananishe na Mchungaji wenu

    Kanisani kwake inasemekana mtumishi mmoja kwa jina la Mc Joooo kajiua kida penzi la mama mchungaji na kaacha ujumbe
  4. Mad Jaluo

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Mimi nimehangaika mpaka mwisho.no luck.ukipata mchongo nikumbuke
  5. Mad Jaluo

    Njia pekee nyepesi ya kuingia Ulaya kwa wale wanaohitaji kujilipua ni hii...

    Ni kweli.wewe upo updated na sahihi.warundi wengi mno wameondoka ila ungewaambia mchongo wote ni milion sita.kuanzia passport mpaka unaingia Serbia.ndio mana wenginem wameshindwa
  6. Mad Jaluo

    TANZIA Mtanzania apigwa risasi na kufariki Afrika Kusini

    Hahahaaaaaa nilijua nimeshaona yote mkuu kumbe maajabu yanaendelea😁😁😁
  7. Mad Jaluo

    Nimeamini masharti ya marehemu wakiyasema kabla ya kukata roho

    Nakwambia mimi nilikua nashangaa tu.sitasahau mpaka nakufa kwa visanga vilivyotokea.tena vingine sijataja
  8. Mad Jaluo

    Nimeamini masharti ya marehemu wakiyasema kabla ya kukata roho

    Binafsi hatukuweka jiwe ila tuligehza jeneza mbele nyuma nyuma pakawa mbele ili marehemu asitusumbue napo cha moto tulikiona.Msiba ulifika kwa tabu sana na maiti ilikua inalia machozi kabisa ma shingo ilikua imeangalia pembeni.Kaburi lilichimbwa matatu maana mawe makubwa yalikua yanajitokeza...
  9. Mad Jaluo

    Wahamiaji: Safari toka Congo kupitia Brazil mpaka Canada kwa miguu

    Nakuelewa sana Bagamoyo.yani kama vipi twenzetu mambele Mbona kila data unazo?
  10. Mad Jaluo

    Wahamiaji: Safari toka Congo kupitia Brazil mpaka Canada kwa miguu

    Kwa sasa Brazil hapaingiliki kutokana na wazee wa unga kuharibu kila kitu.
  11. Mad Jaluo

    Wahamiaji: Safari toka Congo kupitia Brazil mpaka Canada kwa miguu

    Shida ni unafikaje?maana ndio njia hiyo.watu hawataki kutoa michongo zaidi ya kutishana tu Sent from my LG-M250 using JamiiForums mobile app
  12. Mad Jaluo

    Wahamiaji: Safari toka Congo kupitia Brazil mpaka Canada kwa miguu

    Mimi nina nia.kama Vipi unga tela mbele kwa mbele.Bora tukafie nchi ya ahadi.Bongo nyoso Sent from my LG-M250 using JamiiForums mobile app
  13. Mad Jaluo

    Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

    Hata kule visiwani Ukerewe hiyo staili ipo sana Sent from my LG-M250 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom