hapana mkuu daaah kilipotea na wa kukifatilia akawa ananichenga chenga sasa natak nikipambanie mimi nkipate ili kama dirisha likifunguliwa niweze kukiattach
nashukuru sana umenieleza vizuri daaah cheti cha kifo kuna bro wangu alipoteza nkakikosa na muda wa kuapply ukawa unakalibia kuisha ikabidi tu niapply ivyo ivyo ila now nataka nikipambanie j3 nkipate mapema ili nije nikiattach nashukuru sana ubarikiwe
habari zenu sorry nlikuwa nauliza ivi kukata rufaa account zetu za SIPA tunaweza edit kama kuongeza cheti cha kifo na vitu vingine ama utaratibu unakuwaje kwa maana nataka nitafute cheti cha kifo sikukipata kwa muda sahihi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.