Recent content by machumo

  1. M

    Uraia wa nchi mbili: Maendelo na Matokeo yake!

    Katika hii awamu ya tatu, tumeshudia mikataba mibovu katika uwekezaji. Uadilifu mbovu wa viongozi wetu, kwanini tusijipange kwanza kabla ya kutafuta shari jingine? Kwa mtazamo wangu bado sijaona mkakati mbadala, kwenye sheria za kuwawajibisha viongozi. Pia nikiwa na ushahidi na kazi...
  2. M

    Uraia wa nchi mbili: Maendelo na Matokeo yake!

    Unadhani tutapopata mbinu za kuPROTECT? watakuwa wamebakiza kitu. Hiyo ajira ndio itaongezeka, bado kuna mifano mingi ya investors,mfano wachina, wahindi, kuja na watu wao kwenye kazi zinazoweza kufanywa na wazalendo, na hii itatoa mwanya zaidi.
  3. M

    Tunamkumbuka Edward Sokoine - Mtu wa Watu

    Mzee Kyoma wameshakunyamazisha? chonde chonde lete vitu.
  4. M

    Kashfa nzito: Zitto vs Amina Chifupa

    Nyinyi mnafikiri mnampenda Lakini hamuelewi ukweli ya yale yanayomsibu au ya yale ambayo yangemsibu Mzazi wake ndiye anyejua yale ambayo yangemkuta kwa yale anayoyafahamu yeye kutokana na habari alizozipata.Mzee Ametumia busara na Nyinyi mnashabikia na FREE AMINA Kwasababu hakuna anayejua kwa...
Back
Top Bottom