Recent content by Machaare

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua chimbo la bando tafadhali

    Mimi nataka la voda
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tangu nijiunge na JF nimekuwa nikivutiwa sana na SERAN

    Mimi nimemis sana Unique flowers yule dada alikuwa ananikosha sana
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single Mother ananilazimisha kulipa ada ya mwanaye

    Kimbia unatapeliwa apo
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimuonya mke wangu kuhusu kuchepuka hakunisikia. Nimefanya hii comeback sasa hivi analia tu, Pasaka chungu kwake

    Huyo mwanamke atakuwekea sumu kuwa makini
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kasema hanipi mpaka niende kwao kujitambulisha na Mimi nimemwambia siendi mpaka anipemo

    Sisi wenye ndoa ni mwendo wa kuichapa tu usiku mzima na vizinga hakuna
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukitaka kuoa ,oa mwanamke mwalimu

    Hawa wengi wanaliwa wakisaka ukuu wa shule
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri

    Fimbo ya mbali haiui nyoka
  8. M

    JamiiForums Tanzania Naomba mwenye ujuzi na utumishi. Nimepata kazi kwa kigezo cha diploma lakini nina degree

    Taratibu za kiutumishi unapewa mwaka mmoja wa probition ndo udhibitishwe kazini.Hivo kaa miaka minne utapanda cheo na utafikia huo mshahara wa degree kwa iyo kada uliyoko.Baada ya kupanda cheo omba wakubadilishie muundo ili uwe wa degree sasa
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Experience ya dawa za nguvu za kiume

    Tafuta mfetere ila hii unapakwa kwenye matako ya mwanaume ndo unapiga gemu vizuri sasa.Katafute hii utaleta mrejesho apa
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mikopo isiyo na Riba kwa watumishi wa umma

    Riba zinayo asilimia 02 na wanakata riba yao kabisa kinachobaki ndo wanakupa tatizo wanatoa hela ndogo sana huwezi pata zaidi ya milioni tano
  11. M

    JamiiForums Tanzania Naandika kwa uchungu mkubwa sana: Hii gearbox ya CVT ya Swift inanitesa sana

    Uza nunua Ist ni gari nzuri sana me natamba na kuvimba nayo mjini apa
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimempa mimba mwanafunzi, natamani kuitoa

    Na makofi ukamchapa kama yule mzimbabwe
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu amebadilika sana

    Hapo ukitaka arudi kwenye mstari mdhoofishe kiuchumi arudi kuwa mama wa nyumbani akili itamkaa
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mdada haeleweki

    Kama ww uko nae hujui sisi ambao hata hatumjui tutajuaje
Back
Top Bottom