Abdullah Makame wa FACEBOOK anasema
"Maoni Yangu ni kwamba kila kitu kinapaswa kuwa na kiasi. Kiasi kikizidi kinakuwa kinachusha na kinaweza kikaleta madhara. Hata katika maisha ya ndoa Mume na Mke huweza wakapishana mawazo na wakawekeana misimamo ambayo hatimaye hupatikana suluhu...
Hebu angalieni haka kavideo jamani kumbe yalitabiliwa zamani hvoooo
Dah yaani nimepata hii clip ushabiki wote wa UKAWA umeiniisha kumbe nilikuwa napoteza muda kusikiliza mabadiliko sisikilizi vitu vingine leo ndo naona haya maneno ya mh Raisi kumbe alisemaga zamani kabisa, hawa jamaa wanajua...
TBC, AZAM, Starbunge wote wanaonyesha live mi bungeni nikafanye nn me naangali hukuhuku kitaa ww wananikera coz nakaa nione wakipinga hoja za masisiem sasa wao wanatoka njee nakereka sana
Unajua wakati mwingine unaweza kuwa unajua kabisa kuwa unaolewa na mtu humpendi ila unakubali tu kwasababu unataka ndoa, Sasa hawa wabunge wa ukawa hawapendi kutoka bungeni ila hawana namna Mh mbowe kashasema halafu yy mwenyewe anakaa hm anacheki kwenye TV nani hatoki ila roho zinawauma maana...
lazima nihangaike nao coz nilipanga foleni kuwapigia kura halafu nasubiri wafikishe hoja zetu eti wamevuta mpunga halafu wanajifanya haingii ndani mbona hawajaanza kugoma walivofika tu dom hadi wamesubiri hela
Kila nikiangalia hii video kwa kweli najilaumu sana kwanini nilipiga kura kwa hawa wanaojiita UKAWA kumbe wenyewe wanajua kabisa kwamba kutawala sio kazi ya upinzan dah kama kazi ni kushauri sasa mbona wametoka mjengoni wakaacha kazi yao ya kuishauri serikali
Ila leo nimewaona wanatoka kwa...
Kama uliliona hilo kwanini hukuwashauri hao wabunge wa UKAWA wasiwe wanatoka njee na wao watie input zao kufanya bajeti iwe na tija tazama video ya lema kwanza ili uwe na akili vizuri
Kweli kabisa wananchi wanaowatetea hawa wabunge wa UKAWA ni wa kuangaliwa akili zao hawa ndo wanaoitaka hii nchi watuongoze kweli kabisa na sisi tuwape
Haya sasa hoja zao hazijaingia kwenye bajeti, Posho hawapati sio hivyo tu na bajeti imepita tena kishindo kabisa walichokuwa wanakifanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.