Recent content by mabui melafulu

  1. mabui melafulu

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Nazungushwa kupata Mafao baada ya Mkataba wa kazi kumalizika, naambiwa niliacha kazi

    Kumbuka na mwajiri nae anaweka pesa zake pia 10% hivyo naye hafurahishwi na kitendo cha mfanyakazi wake kuondoka kazini wakati bado anakuhitaji.
  2. mabui melafulu

    JamiiForums Tanzania KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE: Tundu Lissu apewa kila anachohitaji gerezani

    Akili ndogo hizi, unahisi unamsifia kumbe unazidi kumchafua
  3. mabui melafulu

    JamiiForums Tanzania Baada ya miaka mitano ijayo namwona John Heche mbali sana kwenye siasa za Tanzania

    Naunga mkono hoja. Jamaa yupo vizuri sana
  4. mabui melafulu

    JamiiForums Tanzania CAF yaamuru mechi ya fainali Simba Vs Berkane ichezwe New Amaan, Zanzibar Mei 25, 2025

    Ni propaganda za kutaka kututoa mchezoni tu. Wanataka kuvuruga watu wasijae uwanjani
  5. mabui melafulu

    JamiiForums Tanzania CAF yaamuru mechi ya fainali Simba Vs Berkane ichezwe New Amaan, Zanzibar Mei 25, 2025

    Taarifa za uzushi hizi, CAF siku zote wakiona kiwanja ulichochagua hakina vigezo wanakuambia uchague kiwanja kingine ili kucheza mechi yako. Iweje leo iwe tofauti na kuamuru mechi ichezwe sehemu fulani. Mm nakataa kabisa na nitakuwa mtu wa mwisho kuamini hili.
  6. mabui melafulu

    JamiiForums Tanzania Siku nyingine ya derby mashabiki Simba na Yanga hatutakuwepo

    Kanuni ndio kila kitu mkuu. Hakuna kipengele cha kutoa taarifa ya kwenda kufanya mazoezi bali mwenyeji anatakiwa aandae mazingira mgeni aweze kwenda kufanya mazoezi bila shida yoyote.
  7. mabui melafulu

    JamiiForums Tanzania Siku nyingine ya derby mashabiki Simba na Yanga hatutakuwepo

    Andiko lako limejaa ushabiki mtupu. Kanuni inasema timu ngeni itafanya mzoezi siku moja kabla ktk uwanja husika na ktk muda uleule wa mchezo, wachezaji wanakuja unawafanyia fujo na kuwazuia wasiingie uwanjani tena wakiwa wamefunga huoni kwa hayo ni mateso kwa wachezaji unadhani haitowaathiri...
  8. mabui melafulu

    JamiiForums Tanzania Mbio za ubingwa Simba SC vs Yanga SC mechi zao za ugenini

    Hizo mechi za away zote simba anashinda hakuna hata moja atakayotoa droo.
  9. mabui melafulu

    JamiiForums Tanzania Asilimia 90 ya mijadala iliyofanywa kwenye vipindi vya Michezo, Wachambuzi wamejadili kuhusu Makosa ya Waamuzi kwenye mechi za Simba

    Mijadala ya kishabiki kwa wachambuzi wetu. All in all majibu yamepatikana kimataifa, huwezi bebwa kwenye ligi halafu kimataifa ukafika mbali
  10. mabui melafulu

    JamiiForums Tanzania Kocha Ramovic: Ligi Kuu Tanzania ni Dhaifu Ndio Maana Yanga Imetolewa

    Yanga wahamie ligi ya Misri tu hakuna namna.
  11. mabui melafulu

    JamiiForums Tanzania Anayepinga maandamano ya 23/09 anaunga utekaji na mauaji ya raia

    Naunga mkono hoja
  12. mabui melafulu

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

    Kaongea kwa uchungu sana aisee
Back
Top Bottom