Nikweli kabisa ewula inatakiwa wafuatilie
Hizi shell za hapa dar zote mtindo huo si kwa oil com pekeyake mtindo huo pia unafanywa na shell ya temeke mtongani gapco ukiweka mafuta ya elfu ishilini kama unakwenda mbagala haufiki. Mchezo huo huwa unakuwa hivi mfano mwenye piki piki akifika kuweka...
Huyo bwana akitaka kujua uwezo aende akawaulize m23 ndio atajua uwezo wale wamesumbua kongo miaka zaidi ya kumi wameshindwa kuwatoa yametumika majeshi ya UN nawenyewe walishindwa tanzania kwenda haikuchukua hata miezi minne chezea tz weee
Huyo bwana wasila nimshirikina na ndiomaana anafanya mambo anayotaka yeye. Kiukweli anawasaidia watu kuwapatia ushirikina wa kuwasaidia kukaa madarakani. Kwahiyo amekuwa na kiburi kufanya mambo anavyotaka yeye kunaviongozi wanamuamini sana kwa kuwasaidia kukaa madarakani bila bugudha yeyote...
Habari za uhakika kutoka kituo cha polisi kawe zinadaiwa polisi walifika eneo la tukio wakaondoka na yule balozi mpaka kituoni wakamchukua maelezo baada ya hapo alihonga sh.11,000,000/= akaachiwa ndio ujue ninamnaga jeshi letu la poli linavyo fanyakazi kwa kutegemea lushwa. Najua wana jf...
kwamujibu wa baba mzazi wa mtoto huyo alikiwa akitoka nje ya nyumba hiyo. Gafla akasikia kelele za mtoto akaludi akakuta mbwa watatu wanamshambuli baba wa mtoto huyo anafanyakazi humo ndani ya mazingila kwahiyo anakaa humo humo nyumba ilivyo ni apartment kwahiyo walipo kuwa wakimshambuli yule...
Ni vigumu kuamini kilichotokea lakini ndivyo ilivyokua mtoto Christian Alex (6) ameuawa kikatili kwa kuliwa na mbwa wanaodaiwa kuwa ni wabalozi Jassim Mohamed Daruwesh.
Tukio hilo la kusikitisha lilijili machi 26 mwaka huu Jangwani Beach Kunduchi jijini Dar es Salaam ambapo mtoto huyo...
Naomba ustahimili ijumaa siombali kwani mtuhuyu vile vile anatuhuma nyingine ya kutelekeza familia yake yani kumwacha mke wake wa ndoa ambapo alibadilisha dini na kuoa mwanamke wa kiislamu lakini baadae huyo mwana mke aliye muoa alimlubuni tena akambadilisha dini akafunga ndoa ya kikiristo...
Wapendwa wana jf nimeona mmekuwa mkihitaji kujua jina la huyu kigogo nssf napenda kuwafahamisha kuanzia siku ya ijumaa nitaweka jina lake hadhalani ikiwa nipamoja na picha yake na cheo chake hapo nssf nitafanya hivyo ilikukomesha ushirikina maofisini kutotajwa jina nikuendelea kuvicha maovu...
Hilo la ufisadi linatajwa kila kona. NSSF ya sasa inakula tu pesa za walipakodi kwa kuingia ubia wa miradi mbalimbali bila kushirikisha wanachama wake. Kibaya zaidi wakubwa wameanzisha kampuni zao za kujipatia kazi katika shirika. Ajira hutoka kwa upendeleo na wakubwa wamejilimbikizia mali...
Kuna watu wanalalamika kwamba kampuni ya simu Tanzania inakufa lakini hawajui sababu. Sasa hivi ukiwa na simu yako Landline inachezewa ili isifanye kazi. Ukipiga simu Huduma kwa Wateja wanakupa namba za mafundi.
Hao mafundi ukiwapigia wanakwambia Lunch yangu leo iko kwako. Maana yake hapa ni...
Alichokifanya huyu bosi ni kutaka asikilizwe na mabosi wake. Akaambiwa na mganga lazima apatikane maiti amezeshwe dawa. Wakaenda Muhimbili, wakakodi maiti mmoja. Wakaondoka naye kwa masaa matatu. Hayo ndiyo yalikuwa masharti ya mganga. Dereva wa bosi huyu ndiye aliyeropoka kwa jamaa zake baada...
Wahenga wanasema kusoma sana sio kujua kila kitu. Hayo yamethibitishwa na tabia kigogo mmoja anayeongoza idara nyeti katika Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) makao makuu kufanya ushirikina wa kutisha.
Kigogo huyu hivi karibuni yeye na dereva wake walikwenda kukodi maiti katika chumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.