Aisee we chalii ticha ako alikua na kazi kinyama, mtoa nyuzi katimba humu tarehe 27 January ili adondoshe Personal attack yake yakikuda. Alaf unahoji aliejiubga tarehe 8 January.. unaakili ww [emoji16][emoji16]... sijui hata kwanini JF hawachuji hawa low minded people humu. Ni zero kinyama...
Hii andiko linaonekana ni issue binafsi baada ya watu kadhaa kubanwa kuhujumu mikwanja ya Umma. Andiko lako halina mashiko fanyeni kazi acheni tamaaa na kuandika nyuzi zisizo na maana mpate attention lyambalyamfipa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wakati kuna Kiongozi mmoja wa nchi alishauri Watanzania tupende kusoma ili tuwe na uwezo wa kupambanua issues mbalimbali ninachoona hapa watu mna chuki zenu binafsi na kusahau NSSF ni Taasisi na ofisi ya mtu kapuni hebu basi tujifunze kidogo Taasisi inaendeshwaje halafu tuje kuleta Uzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.