Habari za kazi wanajamvi,
Niliwahi kuomba ushauri hapa,nashuuru nilifanikiwa.
Kuna tatizo limetokea tena kwa huyu mzazi mwenzangu, aliomba awe anakuja kumuona mtoto binafsi sikuafikiana nae na sikuwahi kumuosha ninapoishi amepatafuta mpaka amepapata.
Ameibuka anadai anataka tuoane tulee...