Recent content by Mab B

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Shukrani sana mkuu,
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Duh Asante sana mkuu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu shikamoni, Natumai mna jumapili njema, Nina shida moja naomba msaada wenu mnieleweshe Vyeti vyangu vya shule jina la kati kuna initial tu mf: John P. Magufuli Na kwenye cheti cha kuzaliwa na NIDA majina yapo full mf: John Pombe Magufuli Kutokana na tangazo walilotoa je nahitajika kwenda...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye uhitaji na figo

    Sio masihara wakuu ni issues serious
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye uhitaji na figo

    Vipimo vyote vitafanyika
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye uhitaji na figo

    Hapanaa
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye uhitaji na figo

    Haiwezi ikawa bure
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye uhitaji na figo

    Ni figo tu mkuu kwa mwenye uhitaji kuhusu bure hapo uongo
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye uhitaji na figo

    Maelewano yenu tu! Kazi yangu kufikisha huu ujumbe
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye uhitaji na figo

    Habari zenu wakuu, Kwa yeyote mwenye mgonjwa au yeye anahitaji figo kwa ajili ya matibabu kuna jamaa yangu yupo tayari kujitolea yeye ni blood group O. Njoo pm
  11. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote, nina BSc. Biotechnology and Laboratory Science

    Ni kweli kukata tamaa ni zambi mzee
  12. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote, nina BSc. Biotechnology and Laboratory Science

    Nashkuru sana kiongozi umenipa mwanga wanamna ya kufanya nitafata huu ushauri wako, japo kuna kipindi nilijaribu kwa sehemu chache ila sikupata response yeyote. Kwa sasa ntaufata ushauri wako nijaribu kwenda maeneo yenyewe physically na si kwakutuma ujumbe. Asante sana mkuu
  13. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote, nina BSc. Biotechnology and Laboratory Science

    Kwa kozi yangu niliyosomea au kazi za nje ya vyeti mkuu?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri unahitajika: Kati ya Cyber Security na Laboratory Science in Biotechnology

    Nipo dar kwa sasa, nimelipenda hilo wazo lako la sales Naku PM mkuu
  15. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote, nina BSc. Biotechnology and Laboratory Science

    Habarini wakuu mimi ni muhitimu wa BSc. Biotechnology and laboratory science mwaka huu kutoka Sokoine University of Agriculture (SUA). Natafuta kazi ata nje ya taaluma yangu Kwa mwenye connection naomba msaada🙏
Back
Top Bottom