Nachukuwa fursa hii kuanzisha utaratibu wa kuanzisha group la wenzangu tuliosomea kozi ya maendeleo ya jamii,Sociology na Social work.Kwa kuzingatia changamoto nyingi zinazotukabili hususan za ajira na fursa zilizopo naomba kushauri wanavyuo wote na wahitimu ambao hadi sasa hawajapata ajira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.