Recent content by maangwatay

  1. M

    Kashfa Bandarini Dar: Rais Magufuli amsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa TRA, Rished Bade

    Habari wala haina chembe ya shaka, ITV, gazeti la mwananchi online na mengine mengi yalikwisha ripoti. Usitegemee source moja ya habari!
  2. M

    Kashfa Bandarini Dar: Rais Magufuli amsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa TRA, Rished Bade

    Habari wala haina chembe ya shaka, ITV, Mwananchi na magazeti mengine kibao yamesharipoti!
  3. M

    VIDEO: Rais Magufuli akizungumza Kiingereza safi

    Hana tatizo na Kiingereza, sema huwezi kumlinganisha na Mkapa au Nyerere kwa mtiririko. Lakini ikumbukwe kuwa huyu ni mtu wa Chemistry.
  4. M

    VIDEO: Rais Magufuli akizungumza Kiingereza safi

    Hii habari ya PhD ya Magufuli ni vema tukaisahau, maana nijuavyo Magufuli amekuwa ni mwanasiasa kwa muda mrefu sasa. Je PhD ya Chemistry alijisomea online?
  5. M

    Tundu Lissu: Dr. Slaa ni muongo, watanzania mpuuzeni. Maneno yote tatizo ni Urais

    "Tundu Lissu" Dr.Slaa alikwisha kuteuliwa kuwa mgombea urais mwezi January na mwezi April akathibitishwa na kamati kuu. Sasa Kama siyo hujuma ni nini? Tundu Lissu nimekudharau kwa kauli zako za mtaani, hasa kuongelea personal life.
  6. M

    AUDIO: Makongoro Nyerere, Kaka zangu wannee CCM ni watukutu, Hawasikii, Wabishi na wenye vurugu

    Hata kama hana haiba ya urais, mtoto wa baba wa taifa kaongelea ukweli mtupu. Kwa maelezo ya Makongoro, watangaza nia walio wengi CCM ni wezi na waongo. Lowassa atajwa hadharani.
  7. M

    AUDIO: Makongoro Nyerere, Kaka zangu wannee CCM ni watukutu, Hawasikii, Wabishi na wenye vurugu

    https://soundcloud.com/kadama-malunde/makongoro-nyerere-shinyangamp3
  8. M

    Dr. Wilibrod P. Slaa: Special Thread

    PhD siyo degree? Wewe mwenyewe yaelekea ni majanga
  9. M

    Ikulu sio wodi ya wagonjwa, Lusinde amnanga Dk. Slaa

    Uliza Kikwete ameanguka jukwaani mara ngapi?
  10. M

    Ikulu sio wodi ya wagonjwa, Lusinde amnanga Dk. Slaa

    Lusinde yeye mgonjwa namba moja. Ni mgonjwa wa akili.
  11. M

    NCCR-Mageuzi yadaiwa kuwasilisha hoja ya kujitoa UKAWA; CUF watoa masharti magumu!

    Gazeti La Rostam Azizi. Kichekesho kweli.
  12. M

    Mengi na K-lyin got married in Mauritius

    Kamchukua mrembo wa nguvu :)
  13. M

    Mengi na K-lyin got married in Mauritius

    JACQUELINE NTUYABALIWE AACHA HISTORIA - Global Publishers
  14. M

    Mrema na Fahmi Dovutwa washambulia UKAWA ITV LIVE

    Je Magamba? zaidi ya miaka 50 na bado wanasaka hata kwa kumtoa mtu roho.
Back
Top Bottom