Mi kiukweli nashangaa watu wanavyomtetea uyo tb Joshua na kumfananisha na mungu kitu ambacho mnakosea Sana nafasi ya mungu msimpe binadamu jaman na hata kama alisema kweli basi mungu ameamua kuzihirisha kuwa tb Joshua siyo mungu anakosea pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.