Habari za jioni wana-JF,
Natamani kufungua duka la vitambaa lakn changamoto ni kwamba sijajua wapi naweza pata vitambaa kwa bei ya jumla.
Na mtaji wa 5M naweza kufungua biashara hiyo?
Habari za jioni wanajf natumaini mko poa
Naomba msaada wa kufaham soko Zuri la mahindi ndani na nje ya Tanzania lakn pia naomba kufaham namna ya kupata kibali cha biashara hii ya kusafirisha mahindi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.