Salamu haikataliwi, ila tu tukumbuke le le le ndio mwanzo Wa Ngoma...itikia tu Salam hayo mengine yatayokuja potezea.
Sifa ya mwanamke ni kuwa Na haya Na aibu..
Salam haigombi, ila mengine yanagomba.
Kama hyo laki Tano unampa Wakat ushaleta mchele, unga,mafuta na maharage ndani....na bili ya maji Na umeme haitoki kwenye hyo laki Tano, na mahitaji yake binafsi Sio kwenye hyo laki Tano ,na ikitokea dharura hela haitoki kwenye hyo laki Tano.... Basi Hapo una haki ya kulalamika😂😂😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.