Recent content by Ma-chemist

  1. M

    Naombeni ushauri kuhusu combination ya CBG

    Kaka kiukwel Mimi tokea nasoma hiyo CBG yangu sikuwa na mawazo kbx yakusoma doctor isipokuwa Mimi nilitamani kusoma maswala ya Afya lkn katika nyanja ya maswala ya genetic na baada ya kuhitimu kidato Cha sita nilifanikiwa kupata cred ambazo kipekee zilinifanikisha kujiunga na Ile Ile course ya...
  2. M

    Naombeni ushauri kuhusu combination ya CBG

    Mara nyingine lazima tutor ushauri unaofaa Kama kwel umesoma Advance na ujamaliza uwezi toa ushauri Kama zilizo tolewa na watangulizi wangu hapo juu binafsi yangu nimesoma CBG na shule niliosima Kuna PCB lkn nakumbuka kwa record zangu Hadi tumehitimu na kujiunga na vyuo vikuu hii kasumba ili...
  3. M

    TCU yabadili baadhi ya vigezo kwa mwaka 2020 kwa baadhi ya kozi

    Ardhii University imebadilika Amna Tena umuhimu wa BAM ni Advance mathematics na physics O-level na mathematics ya O-level tofaut na mwaka Jana kbx
  4. M

    Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu yafungua dirisha la maombi kwa siku 40, yatoa muongozo

    Hapana hata usahili sikufanya yaan nili cancel addimission ili nipate nafasi ya kuomba chuo kingine kwhyo hata usahili sikufanya
  5. M

    Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu yafungua dirisha la maombi kwa siku 40, yatoa muongozo

    Wakuu...Mimi nili cancel admission kwenye chuo husika kbx ili kuomba chuo kingine maana kulingana na mifumo yetu ukisha chaguliwa chuo kimoja inatakiwa u-comfirm au Kama ukitaki u-cancel admission nakuomba chuo kingine lkn nilichaguliwa kwahiyo na mm apa natakiwa kwenda TC kabla ya kuomba mwaka...
  6. M

    Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu yafungua dirisha la maombi kwa siku 40, yatoa muongozo

    Jamani Mimi nili cancel admission kwenye chuo husika ili kuomba chuo kingine kwhyo na Mimi Nina haja ya kwenda TCU na hungali kule nilisha cancelled na chuo husika
  7. M

    Naombeni ushauri tafadhali kwa matokeo haya akasome kozi gani?

    Habari za muda ndugu Wana jamvi, Kama tunavozidi kushauriana kuhusiana na maswala mbalimbali ya kielimu kijana uyu anahitaji ushauri wa hali na mali ukizingatia ndo tunaelekea kwa kufunguliwa kwa dirisha la kuomba mikopo na vyuo vikuu kijana alihitimu kidato cha sita mwaka 2019/2020 katika...
  8. M

    Naomba ushauri wa Course ya kusoma kulingana na matokeo haya

    Sawa Kaka sema naskia MUHAS kila course Ni three principle pass yaan Physics, Chemisty and Biology xx cjuii kwa hiyo course ikoje kwa upande wa vigezo vyake
  9. M

    Naomba ushauri wa Course ya kusoma kulingana na matokeo haya

    Au kwa maonii yako nikasome course gan apoo Ardhii University maana ndo chuo nacho kupenda zaidi ingawa kila mtu na nambia njoo SUA je Apo ARU naweza pata course gan Kati ya hizi ata Building Economic, Environment science, Regional planning au Bancherol of science in Real Estate
  10. M

    Naomba ushauri wa Course ya kusoma kulingana na matokeo haya

    O-level nilikuwa na C ya hesabu physics nilikuwa na D naweza pata Kaka na hii inahusu Nini Sana Kaka mkubwa
  11. M

    Naomba ushauri wa Course ya kusoma kulingana na matokeo haya

    Amna noma cz kila mtu anakuambia yake mwingne Bora EGM mwingne Bora CBG Ila mm nafaham CBG ukiwa na matokeo mazuri una uwanja Mpana Sana hata kuliko hiyo EGM
Back
Top Bottom