Shukrani mkuu..ingawa kwa nature ya eneo ilivyo,camera inaweza isiwe msaada mkubwa sana kukomesha wezi..kuhusu kuweka mtu wa kuishi hapo,walishakuwepo zaidi ya watatu na bado matukio hayajakoma.
Habari wanajamvi...
Kwamuda wa mwaka na miezi kadhaa,nimekuwa nasumbuliwa na wezi kuiba kwenye sehemu ninapofanyia shughuli zangu za uzalishaji wa kipato cha kila leo.
Ninafanya shuguhuli za bustani ya mazao ya kilimo haswa michikichi na miti(matunda) na ya kawaida..Wezi wamekuwa wakiniibia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.