Recent content by m-rusia 2

  1. M

    Biashara ya hardware kwa mtaji wa mil.7

    Gypsum kwa bei ya jumla huwa wanauza kiasi gan mkuu na ili uweze kuuziwa kwa jumla unatakiwa uwanze na kias gan
  2. M

    Biashara ya hardware kwa mtaji wa mil.7

    Sorry mkuu cement za jumla uklikua unaenda kufata kiwandani au wap na je mashart yapoje kuanzia kiasi gan ndio unatakiwa kufunga mzigo kiwandan,pia kama unauzowefu Gypsum board za jumla nazo natakiwa ninunue za kias gan ili niweze kuweka dukan
  3. M

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa kibaha

    2.5 m vip mkuu
  4. M

    Banda linauzwa Mvuti, Dar

    Kiwanja kinaukubwa gan
  5. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo singida mjini, nije morogoro au ifaraka idara ya secondary,
  6. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    [emoji3554] The Russian Federation has deployed 5 missile carriers to the Black Sea, the total salvo of "Calibre" can reach 32 missiles. Alarm may be more frequent, warned in OK "Pivden" https://t.co/NYYhlHxavV
  7. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Elon Musk claims Bakhmut is "almost surrounded". https://t.co/XhPfgk3j8i haya Sasa mwenye satellite yake ameshaliona Hilo wewe kipanya unaliongeleaje Hilo?
  8. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Urusi yakaribia kuuteka mji wa Bakhmut katika mapambano makali na Ukraine https://t.co/jqsZOhqOfi https://t.co/6I4BfGYNAc ukiona hadi bbc anasema hivyo ujue hali mbaya huko,
  9. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Huyo mshauri mwenyewe mbona anaonekana kama naye amekata tamaa
  10. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Atakua kaingiza siraha huyu mzee mana walishabanwa njia zote
  11. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Mkuu huyu jamaa alipachikwa pale kwa makusudi ili kutekeleza mipango ya marekan hivyo ilikua lazima ajifanye mbishi na mkaidi,
  12. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    In additional even the solders of Ukrain army are being paid by Western,
Back
Top Bottom