Recent content by M Mtimbichi

  1. M

    PreGE2025 Mlio karibu na Mwigulu Nchemba mfikishieni ujumbe wake; Propaganda zake mfu aishie kuwalisha wasiojielewa huko UVCCM

    K Kama wame funga sehemu za comment section. Tumuendee DM kwa sms za kutosha. Ataelewa tu. Single user tuma hata sms 100.
  2. M

    PreGE2025 Wakili Mwabukusi: Ninatumiwa Jumbe za Vitisho "KUPOTEZWA" na namba 0792705831

    Ila Police, TCRA na mitandao ya Simu bado wanao uwezo wa kui trace. Hiyo simu aliyoitumia waweza waka trace IME yake, waka trace anawasiliana na akina nani wengine(rafiki, jamaa ama ndugu zake wengine). Pia kwa kupata EMEI ya Simu husika wataweza kupata namba ya lain nyingine tu pindi...
  3. M

    PreGE2025 ACT waongea baada ya Nondo kupatikana, wasema alipigwa sana na alikuwa kwenye kitisho cha kifo

    Hii nadharia ina sound sana na ni very logic. Kama walivyofanya Mo Dewji... Baada ya kupigiwa kelele sana juu ya utekaji na mauaji mbalimbali yaliyokuwa yakiendelea wakatafuta mtu maarufu/tycon ili kutengeneza drama na lengo lilikuwa sio kumdhuru wala kupata chochote kutoka kwake(pesa) ila tu...
  4. M

    PreGE2025 Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

    Daah....! Kila kitu mungu. Mungu ametupa afya njema, ametupa utashi wa kutambua baya na zuri, Haki na batili. Anyway Tanzania itakombolewa siku hiki kizazi Cha machawa na waoga kitakapofutika hapa duniani... Yaan hebu fikiria mtu amekuja akaanza kukutukana mbele ya mke wako na watoto wako...
  5. M

    DOKEZO Je, Chuo cha Tabora Polytechnic kilichopo Tabora mjini kimeuziwa taarifa za wanafunzi na Ndono Sekondari?

    Shida sio kuuziwa taarifa. Hawa jamaa wazinguaji kinoma..., matapeli balaa. Kuna kingine kipo singida kinaendeshwa na dada ake na mwenye chuo hiki. Kinaitwa city college wamepangisha pale jengo la walimu(cwt) mitaa ya mwenge. Ni matapeli kinoma. Wanakupokea ukitaka kusoma kozi yeyote hata kama...
  6. M

    Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

    TBS kwa kushirikiana Wizara afya wa confirm tu kwamba mzigo upo salama kiafya, upelekwe palipo dhamiriwa. Tusilete Mambo ya siasa huku hatujiwezi. Huko Vijijini wakuu wa shule na wazazi wanavutana kila siku juu ya kuchangishana mahindi kwa ajili chakula cha mchana Cha watoto wakiwa shuleni...
  7. M

    Maboresho katika sekretarieti ya ajira: Kwanini mtu wa 'degree' asiruhusiwe kuomba kazi za wenye 'diploma'?

    Advanced diploma ilikuwa inatolewa zamani vyuo vya kati. Na ilikuwa inachukua miaka 3. Na ilikoma 2010. Higher diploloma(NTA LEVEL 7) inatolewa mpaka sa hv na vyuo vya kati ambavyo vipo chini ya NACTE na miaka miwili(2) na mara nyingi hupatikana in kesi mtu ameshindwa kukamilisha degree (NTA...
  8. M

    Maboresho katika sekretarieti ya ajira: Kwanini mtu wa 'degree' asiruhusiwe kuomba kazi za wenye 'diploma'?

    Kurudisha cheti Cha higher Diploma Ili upewe cheti Cha ordinary diploma. Kwa akili za kawaida unaona inawezekana? Au unajibu kisa tu umeshiba na umevimbiwa.
Back
Top Bottom