Recent content by M Hacker

  1. M Hacker

    KERO Siku ya 9 maji hayatoki hata ile ratiba mgawo haina maana Dawasa tumewakosea wapi?

    Dar es salaam kukaa siku 9 bila maji ni mtihani mkubwa sana sijui dawasa wanatuonaje sisi wakazi kimara kukaa siku 9 bila maji hata ile ratiba mgawo haina maana watu wanahangaika kupindua madumu Lita 5000 kuangalia unafuu kupata maji hata kuoga.
  2. M Hacker

    Maoni yenu

    Toa ushahidi au maoni kwa Tume kuhusu matukio ya wakati na baada ya Uchaguzi mkuu kwa SMS/WhatsApp: 0743 040890 au kupitia https://tume.uchunguzi.go.tz
  3. M Hacker

    KERO Responded LATRA: Nauli Mwendokasi (DART) kwanini imepandishwa bila taarifa?

    Walisem muda mbona nauli itapanda tatizo wabongo tunaishi kwa mazoea
  4. M Hacker

    Jamii forum kuperuzi bila virtual private network hupati habari

    bila private network inakuwa hivi huwezi kuperuzi
  5. M Hacker

    Na wewe umechanganyikiwa au tusikilizie kidogo..?

    Sindano inachoma lakini ndo tunajifunza na ukiona mtu analalamika maisha magumu we mpige Kofi tu na oktoba tunatiki🤣🤣🤣
  6. M Hacker

    GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    CCM ni mojawapo Chama kizuri na kinapendwa na watanzania kimeshika madaraka zaidi ya miaka 60 yaani bado miaka 40 kitimize miaka 100 nasema kidumu chama cha mapinduzi na mapinduzi yapo CCM
  7. M Hacker

    Madalali wa Dar walikupiga tukio gani...? Mdau katika utafutaji nyumba au chumba.

    Dalali dalali sheria gani inakupa mamlaka kuchukua service charge 20,000 hadi 30,000 kuona chumba au nyumba na hapo hapo unataka hela ya mwezi mmoja ya kodi yangu bila kutoa jasho yaani unachukua hela kiulaini bila stress na mtu akikuomba umsaidie hiyo mwezi iwe free tayari unampiga service...
  8. M Hacker

    Watu wa IT(wabobezi wa masuala ya teknolojia)

    Hawa watu tunawachungulia wa kawaida sana lakini ni watu muhimu katika mifumo yetu iwe taasisi mbalimbali na wanajua taarifa zetu wakiamua kutoa siri zetu hawashindwi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣wanajua hadi kwenye simu yako uwa unachati na nani.....? Nani mchepuko wako.....?
  9. M Hacker

    Maeneo haya kampeni ya afya ya kinywa ikafanyike sana, hali ni mbaya

    Chaliii ya chuga is isinuke mdomo kwasababu moshi wa sigara inasitiri
  10. M Hacker

    Kukimbilia siti za daladala au mwendokasi ni akili za wapi?

    Mwambie hao ndo wanaolalamika vijana wa dar hawana nidhamu kwa wazee kwenye daladala au mwendokasi
  11. M Hacker

    Kukimbilia siti za daladala au mwendokasi ni akili za wapi?

    We umeishi dar kwa muda gani kwanza ........?
  12. M Hacker

    Kukimbilia siti za daladala au mwendokasi ni akili za wapi?

    Daladala inakuja kituoni unakuta mzee anagombania mlango kuwahi siti alafu cha ajabu anashuka kituo cha 10. Kugombania siti kwa mzee kunawafanya wadharaulike na vijana ndo maana kijana akimuonq mzee kasimama hawezi kumpisha na Waleed wanatamani tuwapishe. Baba mkwe nilimwona anagombania...
Back
Top Bottom