Uchambuzi wa KUJIMWAMBAFY
Asili ya neno ni mwamba
Mwamba mtaani ni mbabe au mtemi
KUJI...ni kujidai, kujifanya na huwa sifa hio huna
FY kwa utafiti uliofanyika kwa lahaja za Tz miaka 200 ina maana HATA KUIGIZA HUWEZI
So Kujimwambafy maanake:
KUJIDAI UMWAMBA WALA HUUWEZI
Hi
Hizi barabara zipo chini ya msaada wa World bank akishirikiana
na local government! Project hizi zilianza Toka enzi za mkwere ! JPM kazikuta ...Mbeya na Arusha tayari
Toka huyu chapombe ahamie huko barabara ndiyo imezidi kuwa mbovu Bora alipokuwa upinzani....hakika Hali Ni mbaya Sana kwa hi barabara! Kama wameshindwa lami waweke changarawe na mitaro ya maji tu.
Q
We jamaa muongo Sana Vumbi la Kongo linazuia kukojoa haraka Sasa huyo na mabao 13 wapi na wapi????
Kwa wasio jua Congo Dust kazi yake Ni kukipiga ganzi kichwa Cha mboo ili usikojoe haraka haihusiani na mboo kusimama Kabisaaa..
Hapa ndiyo akili yako ilipotua??? Wekeni wazi zile CCTV camera mtaona wote walirusha risasi na walinzi wa pale getin nadhani wangekuwa rumande Sasa Hivi kuisaidia police nyie mmewaficha halafu unakuja kuleta utumbo hapa eti dereva....ukiacha akili za kupewa hebu tumia zako uone dereva anahusika...
Mikia banaa Sasa kosa la De la Boss ni Nini??? Mashabiki wa Simba wote ni Mbumbu...(ref: Rais wa Simba Rage) Sasa mbumbu atashika simu gani??? Hata hiyo ya 70k kawabeba Sana angewaambia ya 15k🤣🤣🤣
Very true kaka wengi humu hawamuelewi Pascal Mayalla ukitaka kumuelewa huyu jamaa post zake Soma kwa jicho la tatu ukikurupuka hutamuelewa....Mnafiki ni mwanakijiji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.