Ukisoma hizo sections zitakusaidia ni nini cha kufanya. Lakini kimsing kuna options mbili, either uiombe mahakama kufuta hiyo case au kudefault appearance ambapo mahakama yenyewe itadismiss hiyo case
Jamani mimi nadhani mtoa mada nia yake ni njema kabisa. Ni hivi ili mtu aweze kuchukuliwa specimen kisheria kuna utaratibu kama hicho kipengele kinavyoeleza na taratibu hizo zinapaswa kufuatwa. Sasa zisipofuatwa advantage itakuwa kwa mtuhumiwa, wakati ushahidi huo utakapotolewa mahakamani...
Mimi sidhani kama ni shauri la mirathi maana wanachokidai wao ni ardhi. Cha muhimu kwa kuwa ulipewa mbele ya kikao cha ukoo ni vema ukawaita wakiokuwepo watoe ushahidi kwamba ni kweli ulipewa shamba hilo na marehemu. Ikithibitika hivyo basi hilo shamba halitapaswa hata kuwa sehemu ya mali...
Ukimstaki kwakosa hili inakiwa ni kesi ya jinai na siyo madai. Kesi ya jinai hukumu yake ni adhabu ya kifungo hivyo mdaiwa ataishiwa kufungwa na mdai hatapata chochote.
Ushauri wangu ni kwamba kwa kuwa shauri limehairishwa zaidi ya mara tatu na bado mdeni wako haleti shahidi, iombe mahakama iendelee kwa sababu hakuna reasonable expectation ya huyo shahidi kuja kutoa ushahidi kama ulivosema.
Zaidi ni kwamba endapo utashinda kesi, hukumu itakupa nguvu ya kulipwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.