Recent content by Lyaboya

  1. L

    Msaada: Kupata HESLB Loan Statement

    Website yao wameibadilisha hivi karibuni, Hii mpya ina changamoto sana hakuna sehemu utaweza kupata loan statement kama ilivyokuwa zamani. Kama kuna yeyote ambaye amefanikiwa kupata loan statement kupitia hii website mpya, msaada please!
  2. L

    Kwanini usajili wa namba E kwenye magari unakimbia sana?

    Ahsante sana kwa ushauri mkuu. Nitaufanyia kazi.
  3. L

    Car4Sale Magari Empire, wauzaji wa Magari

    Habari wakuu, Kuna hawa waagiza magari wanaitwa HEDGARS MOTORS niliwapatia pesa ya kuniagizia gari tangu Mwezi wa sita, Ilipofika mwezi wa saba mmiliki wa hiyo ofisi (HEDGAR MSUYA) alipotea hewani na kutokupatikana tena na ofisi wakafunga mpaka hivi sasa bila ya kutoa taarifa zozote kuhusu hela...
  4. L

    Wamiliki wa gari namba D tupeane ushirikiano

    Habari wakuu, Kuna hawa waagiza magari wanaitwa HEDGARS MOTORS niliwapatia pesa ya kuniagizia gari tangu Mwezi wa sita, Ilipofika mwezi wa saba mmiliki wa hiyo ofisi (HEDGAR MSUYA) alipotea hewani na kutokupatikana tena na ofisi wakafunga mpaka hivi sasa bila ya kutoa taarifa zozote kuhusu hela...
  5. L

    Kwanini usajili wa namba E kwenye magari unakimbia sana?

    Habari wakuu, Kuna hawa waagiza magari wanaitwa HEDGARS MOTORS niliwapatia pesa ya kuniagizia gari tangu Mwezi wa sita, Ilipofika mwezi wa saba mmiliki wa hiyo ofisi (HEDGAR MSUYA) alipotea hewani na kutokupatikana tena na ofisi wakafunga mpaka hivi sasa bila ya kutoa taarifa zozote kuhusu hela...
  6. L

    Tunaosubiri namba E tukutane hapa

    Habari wakuu, Kuna hawa waagiza magari wanaitwa HEDGARS MOTORS niliwapatia pesa ya kuniagizia gari tangu Mwezi wa sita, Ilipofika mwezi wa saba mmiliki wa hiyo ofisi (HEDGAR MSUYA) alipotea hewani na kutokupatikana tena na ofisi wakafunga mpaka hivi sasa bila ya kutoa taarifa zozote kuhusu hela...
  7. L

    Tunaosubiri namba E tukutane hapa

    Unamaanisha nini mkuu?
  8. L

    Tunaosubiri namba E tukutane hapa

    Hata september inaweza isifike mzee tayari tushaingia E
  9. L

    Tunaosubiri namba E tukutane hapa

    Hivi unaruhusiwa kutembelea chasis number kwa maximum ya mda gani?
  10. L

    Tunaosubiri namba E tukutane hapa

    August tu hapa tunaingia E
Back
Top Bottom